SERVER ZA DROID VPN ZA USA HAZISHIKI ZOOOOTEEEE,,,,, ASEEEWW SIJUI NN TUU AU KUSEMA. KUNA MNOKO HUMU JUKWAANI KATUCHONGEA SISI WANA WA MSELELEKOOOO
IN SHORT. DROID VPN HAIKAMATIII ASEEE UNAWEZA KUWA UNA CONNECT. KILA MUDA ILA MATOKEO ZERO......
VPN Gani nzuri unatumia. Ha VPN kwangu naona mb ni 50 tu sikuhiziWatu munaenjoy tu matunda ya Eden[emoji23][emoji23]
Mi natumia bando mkuuVPN Gani nzuri unatumia. Ha VPN kwangu naona mb ni 50 tu sikuhizi
Mimi na tumia ya Ha VPN ya Airtel ukihitaji nicheki nikutumie tunnel ule bata ila now mb ni 50. Nina mwaka wa piliMi natumia bando mkuu
Vodacom
Kwa hiyo sijui kuhusu VPN
Tahadhari na mnigeria baba, leo anakusaidia usishangae kesho atakufyatua fedha zako zoteNimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Shukrani mkuuMimi na tumia ya Ha VPN ya Airtel ukihitaji nicheki nikutumie tunnel ule bata ila now mb ni 50. Nina mwaka wa pili
PamojaShukrani mkuu
Ila mimi sina shida, naendelea tu kutumia bando. Sitaki kujihangaisha na VPN [emoji28][emoji28]
Mbn mm inanisumbua kila ninapojarbu ku import files aisee msaada wako tafadhaliHA TUNNEL VPN the rest work out mwenyewe kuna process hapa ya hat files configuration files
Naomba uni dm na mm inbox brotherSawa naweka sawa configuration files hapa zikikaa sawa naku inbox ndiyo maana nasema nimeweka bando la 2000 leo la mwisho, nimechoka unyonge hawa watu wananipa stress hadi nimeona ka mvi kamoja kwenye ndevu leo kumbe stress za MAFIA LA COSA NOSTRA WA BANDO
Kazi tunayoDah humu kuna wanoko , wametuchongea maana DROID VPN hata hahikamatiii kabisaaaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah humu kuna wanoko , wametuchongea maana DROID VPN hata hahikamatiii kabisaaaaaa
Hapa nimenunua bandle kumamakeeee zaoo hao wangeserema walo fukunyuaaa msererekoo wetttuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mlivyojuwa mkijitangaza humu mliona sifa? Siku hizi watu wanakula kimya kimyaDah humu kuna wanoko , wametuchongea maana DROID VPN hata hahikamatiii kabisaaaaaa
Mpaka leo nimetumia 189gb na nina kula mwaka wa nne huu..tatizo lenu mkipewa mnaleta matangazo ya kujisifu.ndio mana watu wameacha kuleta tricks au hole zikipatikana ..wazee wa mtandao wanakula kichwaNyie wanoko mlo tuchongea droid yetu ya mseleleko. , K......um@a.....aaanina zenu , majinga nyieeee
Inakuaje hii mtaalamMpaka leo nimetumia 189gb na nina kula mwaka wa nne huu..tatizo lenu mkipewa mnaleta matangazo ya kujisifu.ndio mana watu wameacha kuleta tricks au hole zikipatikana ..wazee wa mtandao wanakula kichwaView attachment 2699487
Acha kutukana. Shugulisha akili yako. Hii comment naandika kwa kutumia hiyoNyie wanoko mlo tuchongea droid yetu ya mseleleko. , K......um@a.....aaanina zenu , majinga nyieeee