kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Hatuhusiki!Yanga bingwa tena
Msinu ndio nini? Na wewe wape maagizo unaruhusiwaSimba itashinda lakini si kwa urahisi yanga B wamepewa maagizo wameahidiwa fedha gizani na mfadhili wao Gsm wana maagizo kutoka kwa waziri wa fedha na mjumbe wa baraza la wadhamini yanga A Simba ipo kwenye wakati mgumu wachezaji wawe makini wanakwenda kuhujumiwa kwa kutiwa majeraha ili kudhohofishwa kwenye mbio za ubingwa marefa nao tayari wameonwa kiupande wao,Uzuri mechi ya leo hatutaona magoli ya mkono wala offside wala penati za mchongo ni burudani tu Simba msimu anashinda kwa halali sana ndio maana goli moja moja tu!
Uhalali??🤣🤣🤣Simba msimu anashinda kwa halali sana ndio maana goli moja moja tu!
Natumaini umeelewa!Msinu ndio nini? Na wewe wape maagizo unaruhusiwa
Huoni wala kusikia!Uhalali??🤣🤣🤣
Kuiita Singida black stars yanga B ni hofu ya kupoteza mechi.Simba itashinda lakini si kwa urahisi yanga B wamepewa maagizo wameahidiwa fedha gizani na mfadhili wao Gsm wana maagizo kutoka kwa waziri wa fedha na mjumbe wa baraza la wadhamini yanga A Simba ipo kwenye wakati mgumu wachezaji wawe makini wanakwenda kuhujumiwa kwa kutiwa majeraha ili kudhohofishwa kwenye mbio za ubingwa marefa nao tayari wameonwa kiupande wao,Uzuri mechi ya leo hatutaona magoli ya mkono wala offside wala penati za mchongo ni burudani tu Simba msimu anashinda kwa halali sana ndio maana goli moja moja tu!
Tumeishuhudia jkt isiyo bora tumeshuhudia dodoma jiji isiyo bora tumeshuhudia mashujaa pamba jiji hizi zote sio bora ila zikicheza na simba huwa ni jasho na damu ila angalia jkt iliyocheza na simba ndio hii ya azam na yanga je pamba ndio ya azam na yanga?Kuiita Singida black stars yanga B ni hofu ya kupoteza mechi.
Sielewi kwanini MASHABIKI wa simba mna hofu na mechi hii...
Simba ina nafasi kubwa ya kushinda mechi hii ya leo kwa sababu zifuatazo:
1: Simba ina timu bora zaidi ya singida ambayo ina wachezaji wazuri bila kuwa na timu bora.
2: Simba ina bench la ufundi lililo bora zaidi ya Singida na hivyo kimbinu simba watakua bora kuliko Singida.
3:Simba wana uhitaji mkubwa wa hii mechi kuliko Singida kutokana na kasi ya mpinzani wake wa karibu na hivyo itaingia kwa tahadhari kubwa ili wasipoteze.
4: Simba inapocheza ndani ya ardhi ya Tanzania ni wenyeji kwenye uwanja wowote na hii itawapa hamasa zaidi kuliko wenyeji wao.
Pamoja na sababu zangu nilizotoa nitafurahi mnyama akipoteza au akipata sare japo ni ngumu.
Mbona mmeanza kulia lia mapema hivi.kwani mnacheza na yanga au singida?hamueleweki!Simba itashinda lakini si kwa urahisi yanga B wamepewa maagizo wameahidiwa fedha gizani na mfadhili wao Gsm wana maagizo kutoka kwa waziri wa fedha na mjumbe wa baraza la wadhamini yanga A Simba ipo kwenye wakati mgumu wachezaji wawe makini wanakwenda kuhujumiwa kwa kutiwa majeraha ili kudhohofishwa kwenye mbio za ubingwa marefa nao tayari wameonwa kiupande wao,Uzuri mechi ya leo hatutaona magoli ya mkono wala offside wala penati za mchongo ni burudani tu Simba msimu anashinda kwa halali sana ndio maana goli moja moja tu!
Yanga B wachezaji wanahifadhiwa pale kuja yanga A dar!Mbona mmeanza kulia lia mapema hivi.kwani mnacheza na yanga au singida?hamueleweki!
Mbona hofu sana mna shida Gani? Mcheze na singida lakini midomoni mwenu muitaje yanga? Kama mnabutuliwa mbutuliwe kivyenu kutokana na ubovu wenu sio kutafuta kichaka cha kujifichia ukishabutuliwa, nani aujui ubora wa wachezaji wa singida? Wanao wachezaji kibao wanaoingia Moja kwa Moja kwenye kikosi chenu cha kwanza ivyo Kila Mmoja anajua ubora wao na ukikosa alama kwao ni ubora wao unakuwa umeamua na sio kelele zenu za kutafuta huruma ili ukishakosa matokeo update sababu!Simba itashinda lakini si kwa urahisi yanga B wamepewa maagizo wameahidiwa fedha gizani na mfadhili wao Gsm wana maagizo kutoka kwa waziri wa fedha na mjumbe wa baraza la wadhamini yanga A Simba ipo kwenye wakati mgumu wachezaji wawe makini wanakwenda kuhujumiwa kwa kutiwa majeraha ili kudhohofishwa kwenye mbio za ubingwa marefa nao tayari wameonwa kiupande wao,Uzuri mechi ya leo hatutaona magoli ya mkono wala offside wala penati za mchongo ni burudani tu Simba msimu anashinda kwa halali sana ndio maana goli moja moja tu!
Hamna hadhi ya kua mabingwa..hamuwez kua mabingwa, bora tabora united wawe mabingwa ila sio nyinyi mateja.Yanga bingwa tena
Hakuna mchezaji wa singida mwenye uwezo wa kupata nafasi simba!Mbona hofu sana mna shida Gani? Mcheze na singida lakini midomoni mwenu muitaje yanga? Kama mnabutuliwa mbutuliwe kivyenu kutokana na ubovu wenu sio kutafuta kichaka cha kujifichia ukishabutuliwa, nani aujui ubora wa wachezaji wa singida? Wanao wachezaji kibao wanaoingia Moja kwa Moja kwenye kikosi chenu cha kwanza ivyo Kila Mmoja anajua ubora wao na ukikosa alama kwao ni ubora wao unakuwa umeamua na sio kelele zenu za kutafuta huruma ili ukishakosa matokeo update sababu!