Leo katika historia na Dola la Papa

Leo katika historia na Dola la Papa

Anaongea kwa ushabiki huku hajui kitu
Na kwa mwendo huo hataweza pokea kwa ufasaha kile anachohitaji fahamishwa!!..Akikutana na watu ambao hawapendi usumbufu watakachomwambia ni "SAWA" kumbe anapotea!!..
 
Sijui nini sasa hakuna kitu nisichojua ila stori za zamani ambazo zimepita sitaki kuona zinashadadiwa sana utafikiri hili kanisa halina mazuri lililofanya huko nyuma
 
Na kwa mwendo huo hataweza pokea kwa ufasaha kile anachohitaji fahamishwa!!..Akikutana na watu ambao hawapendi usumbufu watakachomwambia ni "SAWA" kumbe anapotea!!..
Ukisubr mafundisho ya kimanjsani kwa padr hutalijua kanisa kamwe..
Bnafsi baba mkubwa ni Jesuits na paroko wa sehem fulan Tz, kanifunza mengi mno juu ya RC pia babu angu alikua .alezi seminar kaaacha vitab vingi vya kizaman tunasoma
 
Ukisubr mafundisho ya kimanjsani kwa padr hutalijua kanisa kamwe..
Bnafsi baba mkubwa ni Jesuits na paroko wa sehem fulan Tz, kanifunza mengi mno juu ya RC pia babu angu alikua .alezi seminar kaaacha vitab vingi vya kizaman tunasoma
Na hilo ndilo wanalokosea watu!, wanazani Padre siku zote ndio mtu wa kuwapa taarifa!...
Nililelewa wakitumaini nitaupenda upadre lakini sikuwahi tamani hata siku moja kuwa Padre!!..Infos nazijua sababu nilikuwa interested sana na maandiko ya kanisa kiasi hata Biblia nimeishika yote kichwani lakini kwa mtindo wa story, ukinipa mistari sitaweza kukwambia.
 
Sijui nini sasa hakuna kitu nisichojua ila stori za zamani ambazo zimepita sitaki kuona zinashadadiwa sana utafikiri hili kanisa halina mazuri lililofanya huko nyuma
Ili uweze yatetea hayo mazuri jifunze kujua na kuyakubali mabaya yake!!.. Kumuambia mtu hii ni Rangi Nyeusi tambua na Nyeupe!..
Kuna padre wa jimbo fulani hadi leo hataki waumini wafungue biblia wakati wa somo!, lakini ukifatilia huo ni ustaarabu wa miaka hiyo ya zamani sana!
 
Ili uweze yatetea hayo mazuri jifunze kujua na kuyakubali mabaya yake!!.. Kumuambia mtu hii ni Rangi Nyeusi tambua na Nyeupe!..
Kuna padre wa jimbo fulani hadi leo hataki waumini wafungue biblia wakati wa somo!, lakini ukifatilia huo ni ustaarabu wa miaka hiyo ya zamani sana!
Padre gani huyo hataki watu wafungue biblia wakati wa masomo acha ujinga bana hili siwezi kukubaliana na wewe nimeishi maeneo mbalimbali ya nchi yetu na kuhudhuria ibada nikiwa na biblia yangu na sijawahi kuona padre akisema msitumie biblia
Hebu taja jimbo na pandre husika hatua zichukuliwe la sivyo umeamua kujifanya mkatoliki tu
 
Padre gani huyo hataki watu wafungue biblia wakati wa masomo acha ujinga bana hili siwezi kukubaliana na wewe nimeishi maeneo mbalimbali ya nchi yetu na kuhudhuria ibada nikiwa na biblia yangu na sijawahi kuona padre akisema msitumie biblia
Hebu taja jimbo na pandre husika hatua zichukuliwe la sivyo umeamua kujifanya mkatoliki tu
Upo mkoa/wilaya gani!?.. Unahisi nikimtaja direct hapa nitakuwa nimefanya kitu sahihi?
Hebu nikusaidie zunguka parokia za Dsm!.
Fatilia comment zangu toka wick hadi Palantir!.. Nyie ndio watu bendera fata upepo!!..
 
Upo mkoa/wilaya gani!?.. Unahisi nikimtaja direct hapa nitakuwa nimefanya kitu sahihi?
Hebu nikusaidie zunguka parokia za Dsm!.
Fatilia comment zangu toka wick hadi Palantir!.. Nyie ndio watu bendera fata upepo!!..
Majina ya mapadre yako wazi kama unaushahidi wa yeye kuwakataza waumini kufungua biblia mtaje maana haya siyo mafundisho ya kanisa katoliki kuwa eti waumini hawaruhusiwi kufungua biblia kanisani wakati wa masomo
 
Majina ya mapadre yako wazi kama unaushahidi wa yeye kuwakataza waumini kufungua biblia mtaje maana haya siyo mafundisho ya kanisa katoliki kuwa eti waumini hawaruhusiwi kufungua biblia kanisani wakati wa masomo
Ushahidi upi wakati kuna waumini zaidi ya 400 wanasali na wamemzoea akiongoza yeye misa hawafungui!, akiongoza mwingine wanafungua kama kawaida!..
Wewe ni mgeni na taratibu za Kanisa hilo amini!!..
Kanisa lina taratibu ambazo ni lazima kuzifata na kuna baadhi ya taratibu Padre/Paroko anaweza kuamua kuzifanya kwa maono yake!.
Padre kukataza watu wasisome biblia zao wakati wa kusoma Somo sio kosa!, ni maono yake yamemtuma hivyo!..Hataweza shtakiwa sehemu akawajibishwa lakini anaweza kuulizwa na akatoa sababu zikakubalika!..
Wewe ni mtoto sana kwenye taratibu na ishu za Kanisa!..
Hebu nikuulize Charismatic ni halali au sio halali Kanisa Katoliki!?..
 
Ushahidi upi wakati kuna waumini zaidi ya 400 wanasali na wamemzoea akiongoza yeye misa hawafungui!, akiongoza mwingine wanafungua kama kawaida!..
Wewe ni mgeni na taratibu za Kanisa hilo amini!!..
Kanisa lina taratibu ambazo ni lazima kuzifata na kuna baadhi ya taratibu Padre/Paroko anaweza kuamua kuzifanya kwa maono yake!.
Padre kukataza watu wasisome biblia zao wakati wa kusoma Somo sio kosa!, ni maono yake yamemtuma hivyo!..Hataweza shtakiwa sehemu akawajibishwa lakini anaweza kuulizwa na akatoa sababu zikakubalika!..
Wewe ni mtoto sana kwenye taratibu na ishu za Kanisa!..
Hebu nikuulize Charismatic ni halali au sio halali Kanisa Katoliki!?..
Kumbe naongea na mtu asieelewa kitu we umesema wamekatazwa na huyo padre
Swala la mtu kuingia na biblia au kutoingia nayo hilo linabaki kwa mtu binafsi sio eti uniambie padre kawakataza waumini
Mimi ni mkatoliki wa kiwango cha juu mkuu na ndio maana nakuambia haya
 
Kumbe naongea na mtu asieelewa kitu we umesema wamekatazwa na huyo padre
Swala la mtu kuingia na biblia au kutoingia nayo hilo linabaki kwa mtu binafsi sio eti uniambie padre kawakataza waumini
Mimi ni mkatoliki wa kiwango cha juu mkuu na ndio maana nakuambia haya
Sawa
 
Ushahidi upi wakati kuna waumini zaidi ya 400 wanasali na wamemzoea akiongoza yeye misa hawafungui!, akiongoza mwingine wanafungua kama kawaida!..
Wewe ni mgeni na taratibu za Kanisa hilo amini!!..
Kanisa lina taratibu ambazo ni lazima kuzifata na kuna baadhi ya taratibu Padre/Paroko anaweza kuamua kuzifanya kwa maono yake!.
Padre kukataza watu wasisome biblia zao wakati wa kusoma Somo sio kosa!, ni maono yake yamemtuma hivyo!..Hataweza shtakiwa sehemu akawajibishwa lakini anaweza kuulizwa na akatoa sababu zikakubalika!..
Wewe ni mtoto sana kwenye taratibu na ishu za Kanisa!..
Hebu nikuulize Charismatic ni halali au sio halali Kanisa Katoliki!?..
Hili ni moja kati ya mashirika mengi ndani ya kanisa katoliki
Na kazi yao kubwa ni maombi au kuombea watu humu kuna watu wa kila aina usishangae kumwona padre ni mkarisimatiki
Sasa kikundi cha wanamaombi unasemaje sio halali ndani ya kanisa katoliki?
 
Dola la Papa

Dola la Papa lilikuwa nchi huru chini ya himaya ya Papa kuanzia miaka ya 700 hadi 1870.

Chanzo chake ni uvamizi wa makabila ya Wagermanik uliobomoa Dola la Roma upande wa magharibi wa Bahari ya Kati. Wenyeji, wengi wao wakiwa Wakristo Wakatoliki, walimkimbilia Papa kama kiongozi wao atakayeweza kuwasaidia katika matatizo.

Baadaye Wafaranki walikubali kumuachia Papa mamlaka ya kisiasa juu ya maeneo mbalimbali nje ya Roma. Polepole maeneo yaliongezwa hata kufikia mikoa 3 na nusu ya Italia ya leo: Lazio, Umbria, Marche na sehemu ya Emilia-Romagna.

Dola lilikoma tarehe 20 Septemba 1870, jeshi la Italia lilipoteka mkoa na mji wa Roma, isipokuwa mtaa wa Vatikano.

Kwa mapatano ya tarehe 11 Februari 1929, badala yake ilianzishwa Mji wa Vatikani, nchi ndogo kuliko zote duniani (kilometa mraba 0.44, lakini huru ili mamlaka ya kiroho ya Papa isiingiliwe na watawala wa dunia kama ilivyotokea zamani.
Watashindana lakini hawata,SHINDA,,,[emoji28]
 
Dola la Papa

Dola la Papa lilikuwa nchi huru chini ya himaya ya Papa kuanzia miaka ya 700 hadi 1870.

Chanzo chake ni uvamizi wa makabila ya Wagermanik uliobomoa Dola la Roma upande wa magharibi wa Bahari ya Kati. Wenyeji, wengi wao wakiwa Wakristo Wakatoliki, walimkimbilia Papa kama kiongozi wao atakayeweza kuwasaidia katika matatizo.

Baadaye Wafaranki walikubali kumuachia Papa mamlaka ya kisiasa juu ya maeneo mbalimbali nje ya Roma. Polepole maeneo yaliongezwa hata kufikia mikoa 3 na nusu ya Italia ya leo: Lazio, Umbria, Marche na sehemu ya Emilia-Romagna.

Dola lilikoma tarehe 20 Septemba 1870, jeshi la Italia lilipoteka mkoa na mji wa Roma, isipokuwa mtaa wa Vatikano.

Kwa mapatano ya tarehe 11 Februari 1929, badala yake ilianzishwa Mji wa Vatikani, nchi ndogo kuliko zote duniani (kilometa mraba 0.44, lakini huru ili mamlaka ya kiroho ya Papa isiingiliwe na watawala wa dunia kama ilivyotokea zamani.
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
 
Hapana mkuu historia ya dola ya Papa haijaweza survive mpaka sasa kiurahisi namna hiyo!.. Zile crusade wars zote zilikuwa kwa maslahi ya ukristo na kusimika nguvu ya Papa. Kuuwawa kwa Galileo kulikuwa ni kupingana na msimamo wa kanisa!.. Watu kuuwawa kwa ajiri ya kukutwa wana miliki biblia ilikuwa ni kuhakikisha nguvu ya kanisa inabaki. Historia ya Papa ni kubwa sana. Kama mkatoliki unaweza kwenda duka la kanisani omba kakitabu fulani kadogo kanaitwa "PAPA NI NANI?" au "MJUE PAPA".. (nimesahau title).
Katoliki tumepitia mengi mpaka leo hii unaona tunaheshimika na Papa wetu!..Amina.
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
 
Back
Top Bottom