Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsKWa kifupi wakatoliki tuna akili sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsKWa kifupi wakatoliki tuna akili sana.
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsHiki ulichoandika hapa ni stori za wabaya wa hili kanisa tu ila hazina ukweli wowote
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums....Hasa WAJESUIT...
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsHuwa napendezwa na ukweli ulio uchi/usiopindishwa
Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForumsTiririkeni zaidi wakuu.
Hujaandika cha maana Intellectually n' academically, all are just blasphemy in there!..Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
wewe ni mupya humu, fanya kautafiti kupitia thread then rudi na point muhimu..Gusa hapa uone linavyomiliki dunia Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
ni Mungu mtuHujaandika cha maana Intellectually n' academically, all are just blasphemy in there!..
Unashida wewe kuonnimejiunga sikwamba ndo mara ya kwanza uku sawaaaaaaa???wewe ni mupya humu, fanya kautafiti kupitia thread then rudi na point muhimu..
wewe wasema!..wewe
ni Mungu mtu
Kama wanasoma wanaacha ndio na mie nione ujinga niuache bila sahihihisha!?..Unashida wewe kuonnimejiunga sikwamba ndo mara ya kwanza uku sawaaaaaaa???
wengine wanasoma wnaacha
Kama wanasoma wanaacha ndio na mie nione ujinga niuache bila sahihihisha!?..
Sina shida kuona umejiunga karibuni, lakini nimekupa wazo ili kubadiri fikra zako pitia maandiko yaliyokuwa already explained in here then rudi discuss meaning utakuwa na new thinking!..
stupidity Hii imetokea wap
Kumbe hii kata kata vchwa mwanzilishi si Muhammad.Hapana mkuu historia ya dola ya Papa haijaweza survive mpaka sasa kiurahisi namna hiyo!.. Zile crusade wars zote zilikuwa kwa maslahi ya ukristo na kusimika nguvu ya Papa. Kuuwawa kwa Galileo kulikuwa ni kupingana na msimamo wa kanisa!.. Watu kuuwawa kwa ajiri ya kukutwa wana miliki biblia ilikuwa ni kuhakikisha nguvu ya kanisa inabaki. Historia ya Papa ni kubwa sana. Kama mkatoliki unaweza kwenda duka la kanisani omba kakitabu fulani kadogo kanaitwa "PAPA NI NANI?" au "MJUE PAPA".. (nimesahau title).
Katoliki tumepitia mengi mpaka leo hii unaona tunaheshimika na Papa wetu!..Amina.
Kwenye biblia hata Yohana alikatwa kichwa au sijakuelewa mkuu!?..Kumbe hii kata kata vchwa mwanzilishi si Muhammad.
Na mimi ningekuwa padre ningezuia watu kufungua biblia maana tunaenda kanisani kusali na kufundishwa neno(kusikia neno)! Ni sawa na darasani mwalimu yuko busy kufundisha mwanafunzi anakazana kuperuzi kitini chake apa hawezi concentrate kwenye kile anachofundishwa.Ushahidi upi wakati kuna waumini zaidi ya 400 wanasali na wamemzoea akiongoza yeye misa hawafungui!, akiongoza mwingine wanafungua kama kawaida!..
Wewe ni mgeni na taratibu za Kanisa hilo amini!!..
Kanisa lina taratibu ambazo ni lazima kuzifata na kuna baadhi ya taratibu Padre/Paroko anaweza kuamua kuzifanya kwa maono yake!.
Padre kukataza watu wasisome biblia zao wakati wa kusoma Somo sio kosa!, ni maono yake yamemtuma hivyo!..Hataweza shtakiwa sehemu akawajibishwa lakini anaweza kuulizwa na akatoa sababu zikakubalika!..
Wewe ni mtoto sana kwenye taratibu na ishu za Kanisa!..
Hebu nikuulize Charismatic ni halali au sio halali Kanisa Katoliki!?..
Unajisifu, ushafika Vatican wewe?KWa kifupi wakatoliki tuna akili sana.
Asilimia kubwa ya waumini hawaijui Quran na Biblia vizuri ndio maana ata wanajichanganya viongozi wao wa dini wanapowachanganyia na Siasa..in short asiejua kitabu cha Mungu vizuri ni mtumwa wa kwenda kwenye jengo,anapaswa kusoma mpaka amzidi kiongozi wakeNa mimi ningekuwa padre ningezuia watu kufungua biblia maana tunaenda kanisani kusali na kufundishwa neno(kusikia neno)! Ni sawa na darasani mwalimu yuko busy kufundisha mwanafunzi anakazana kuperuzi kitini chake apa hawezi concentrate kwenye kile anachofundishwa.
Hivi kwenye masinagogi ya wayahudi kila mtu alikuwa anaingia na Chuo chake au ni yule Kuhani/ au yeyote aliyeteuliwa ndo alikuwa anasoma tu na wengine kazi yao ni kusikiliza!
Ebu na waislamu watusaidie na wao kila mtu anaenda na msaafu msikitini kila dakika shekh anawambia wafungue misaafu? Na je kwa kutoenda na misaafu misikitini inawafanya wasijue neno?
Mie nadhani ule utaratibu wa kanisa wa awali ulikuwa bora zaidi maana sioni sehemu yoyote ambayo waumini watapata mda wa kufungua hizo biblia maana kila kitu kimeshapangwa kwenye kalenda ya kanisa unaenda church ukijua kesho soma la 1 na 2 ni ili na injili ni hii! Sa kukazana kila mtu asome inamaana anayesema haaminiki kwamba labda atasoma kinyume na je hasiyejua kusoma na yeye abebe biblia kama pambo!
Ni maoni yangu tu lkn.
NB: Mwanafunzi mzuri ni yule anayesikiliza na kutuliza akili wakati wa kufundishwa.
Sent using Jamii Forums mobile app