Siku kama ya ya leo December 27 mwaka 2007 aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke nchini Pakistan Benazir Bhutto aliuwawa kwenye shambulio la kujitolea mhanga huko Rawalpindi, Pakistan alipohudhuria kwenye mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa kisiasa.
Hawa jamaa sijui huwa wanaona fahari gani kuuwana ovyo! Na majirani zao India ukoo wa Gandhi ulimalizwa hivi hivi kwenye mauwaji ya kisiasa angalau nowadays wameanza kustaarabika.
Hawa jamaa sijui huwa wanaona fahari gani kuuwana ovyo! Na majirani zao India ukoo wa Gandhi ulimalizwa hivi hivi kwenye mauwaji ya kisiasa angalau nowadays wameanza kustaarabika.
Hawa jamaa sijui huwa wanaona fahari gani kuuwana ovyo! Na majirani zao India ukoo wa Gandhi ulimalizwa hivi hivi kwenye mauwaji ya kisiasa angalau nowadays wameanza kustaarabika.