Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.

Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.

Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.
 
Akiniomba hela naitikia ndio ntampa Alafu napotezea..... Kaomba nimnunulie naniliu nikaitikia kasubiiri kaona Bila Bila....dah akachoka kuvumilia.

Akaamua kuniacha......

I really miss her..... mwenyewe alikuwa ananiita ccm badala ya sumbai sijui kwanini
 
Mambo vipi watu wa Mungu?
Leo naomba kila mwana MMU ataje sababu iliyopelekea kuachana na mpenzi/wapenzi wake wa zamani.
Tukianza na mimi mleta mada niliachwa coz sikua msabato mwenzie na vile sikua mnyakyusa mwenzake. Na yeye sababu alizonipa kabla ya kanitema ni kwamba wazazi wake walikua wamemwambia wanataka aolewe na mwanaume msabato na vilevile awe mnyakyusa.
Ebu na nyie watu wa Mungu tiririkeni hapa sababu zilizopelekea mahusiano yenu kuvunjika.

Halafu iwe nini
 
Inonekana moyo una maumivu makali [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Acha tuu mkuu...she was very cute black beauty yaan full maumivu bt let it go...nmeamua kwenda kuongeza shule ili kelele za unaoa lini ziishe pia ili nipate peace of mind....yaan niko very strict siku hizi linapokuja swala la women..maybe after two years za masomo nitakaa sawa.
 
Back
Top Bottom