Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana mzimu bas maana atakosaje kuwa na mbele au hata nyuma. Mkuu kamwangalie vzrWangu alikuwa na kiburi dharau na kujiona ni mzuri na kwamba ataolewa saa yoyote motokeo ujana unazidi kumuacha kilometres zinaenda hana mbele wala nyuma
Bila shaka hukumpenda kwa dhati ya moyo wako.[emoji6] [emoji6] [emoji6]nilijisikia tu kumwacha.... tulifanana umri nikaona huyu nisipoangalia ntaoa halaf uzeen tuanze kusumbuana!!!!
Afu ukanidanganya we bado bikra...1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
Ali cheat nkaona bora nimuachie mwenzangu aendelee kufaidi maana mi sikumtoshailikuaje mpaka akapenda kwingine?
Alisema cha nini mwingine akasema ntakipata lini. Niko na anayejua umuhimu wangu.kwa hiyo saivi uko alone?