asaprichie
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 297
- 238
Aligoma kunyonya dushe siku ya kwanza tu nikamtema maana sikuona haja ya kuwa na mtu ambaye sitakuwa na furaha nikiwa naye japokuwa anadaigi kuwa kwa sasa anaweza nyonya sasa nikawa najiluliza alianza kunyonya ya nani.
Ulikuwa humkazi vizur!aliendekeza ngono nikatemana naye....
kwa nini mkuu,alikua anakaribia menopause au?
Mimi ilikuwa kutwa mara 3,Angenizeesha yule aisee! Alikuwa hataki kabisa niende kazini.....Usiku ndio kabisaaa,sijui alikuwa jini mahaba yule.
Afu ukanidanganya we bado bikra...
haha jambazi kakaLilikuwa jambazi original la mjini full maigizo utafikiri linakupenda kweli.
Maana yake chama cha majambazi[emoji23] [emoji23] [emoji23] alikuona Una characters zoteAkiniomba hela naitikia ndio ntampa Alafu napotezea..... Kaomba nimnunulie naniliu nikaitikia kasubiiri kaona Bila Bila....dah akachoka kuvumilia.
Akaamua kuniacha......
I really miss her..... mwenyewe alikuwa ananiita ccm badala ya sumbai sijui kwanini
Nichukue mie basi. Niko vizuri hiyo sector.alikua haniombi kabisa pesa.