Mpe tu..hakuna namnaAlikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
Nikupe pongezi ulimvumilia haswaMie sikuachwa bali niliacha maana mwenzangu alizidi uchafu. Akija kunitembelea geto langu analikuta safi na linanukia harufu nzuri nzuri tu ya kumfanya mtu mchafu ajisikie vibaya. Yeye akija wala hashangai, anapangua vitabu vyote mezani na tukila utashangaa mchuzi atauacha unakaukia mezani na sakafuni. Wakati mwingine akija na zege (chips mayai) na kuku wake wa kukaanga, utashangaa atakula na kuacha pale mezani kwa wikendi yote yuko pale nami. Nilikuja kushangaa siku moja baada ya yeye kuondoka, nilifanya usafi wa nguvu nikakuta mifupa ya kuku chini ya kochi na handkerchief ya mafua ambayo ni yake pia. Ukimuona kwa macho ni kweli anavutia kinoma, wigi za kila aina anazo, na yuko smart katika kuji-keep uzuri ila uchafu tu ndiyo shida yake. Yaani yeye anajali kuonekana msafi tu na sijawahi kumuona anafua nguo hata siku moja. Yaani mpaka vitambaa vya kupangusia vumbi nilikuwa nafua mimi, yeye yuko bize kuchafua nyumba yangu bila haibu. Katika suala na kuweka papuchi clean huko ndio balaa, maana alikuwa na harufu ya fujo haswa baada ya tendo la ndoa. Samahani kama kuna anayekwazika na hili, ila nilishindwa ikabidi niongee na mdada mmoja ajifanye kuwa ndiye girl friend wangu mpya....yule mdada mchafu lipokuja nyumnai akakutana na mdada mpya wakakorofishana na akatimuliwa kisailensa mpaka leo anabaki kunitukana wakati mwenzie nina furaha ya kubaki lonely na usafi wangu.
[emoji38] [emoji38] [emoji38]Hahhaha Pole bwana ulitakiwa ujiandae kisaikolijia.....! Na uzoeeee.
Anyway Jimbo lipo huru??? Sio
Cc Daby
Tatizo nikiwa peke yangu akili yangu huwa inaafiki maamuzi bora kabisa! Hata hivyo tukishakutana tu na kuanza kunikumbatia basi huwa nashindwa kabisa kufanya maamuzi sahihi....jamani msaada wa mawazo ni muhimu sana hapa...MPE tu maana huna maamuzi ndo maana unaomba ushauri kwa jambo ambalo tayari umefanya maamuzi ya kumpa,mkuu sample yako ndo huwa wanateswa sana Na wanawake!!
alilia lia.... akaishia kutoka na rafiki yangu ili kuniumiza moyo but nikaona poa tu"demu alikuekewa lakini?
Yaani tabia zote hizo alikua Nazo na bado ulikua unampa!? Lol wanawake sie tuna moyo sana1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
Nakusanya dondoo muhimu ili nikabidhi fail sehemu husika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kaka shemeji hilo swali unatake labda?
Pesa yako mtumie Mama yako huko kijjn koromijeAlikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
hongera sana mkuu..nimejifunza kitu kutoka kwako.It took me two years to move on! Hadi nikakukana na kijana mwengine ambae nilimuelezea sutuation na nikamuambia kuwa I am in a process to heal...nae akaniambia take all your time to heal and I'll be right here waiting for you when you are ready! Slowly nikajikuta na fall in love again with this guy na mwaka mmoja baadae tukaoana and we lived happily ever after... Hivi sasa mimi ni mama wa watoto wawili.
Kujua kuwa Mungu analipa hapax2 duniani, yule jamaa alitoswa na yule demu na hivi sasa bado hajaoa...How sad[emoji53]
[emoji15]Kuna jamaa anikua anamf*ra demu wangu...dah hovyo sana yule manzi! Nikashindwa mm!
Acha uongo!!Mi sijawahi kuacha....