Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Alikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
Mpe tu..hakuna namna
 
Mie sikuachwa bali niliacha maana mwenzangu alizidi uchafu. Akija kunitembelea geto langu analikuta safi na linanukia harufu nzuri nzuri tu ya kumfanya mtu mchafu ajisikie vibaya. Yeye akija wala hashangai, anapangua vitabu vyote mezani na tukila utashangaa mchuzi atauacha unakaukia mezani na sakafuni. Wakati mwingine akija na zege (chips mayai) na kuku wake wa kukaanga, utashangaa atakula na kuacha pale mezani kwa wikendi yote yuko pale nami. Nilikuja kushangaa siku moja baada ya yeye kuondoka, nilifanya usafi wa nguvu nikakuta mifupa ya kuku chini ya kochi na handkerchief ya mafua ambayo ni yake pia. Ukimuona kwa macho ni kweli anavutia kinoma, wigi za kila aina anazo, na yuko smart katika kuji-keep uzuri ila uchafu tu ndiyo shida yake. Yaani yeye anajali kuonekana msafi tu na sijawahi kumuona anafua nguo hata siku moja. Yaani mpaka vitambaa vya kupangusia vumbi nilikuwa nafua mimi, yeye yuko bize kuchafua nyumba yangu bila haibu. Katika suala na kuweka papuchi clean huko ndio balaa, maana alikuwa na harufu ya fujo haswa baada ya tendo la ndoa. Samahani kama kuna anayekwazika na hili, ila nilishindwa ikabidi niongee na mdada mmoja ajifanye kuwa ndiye girl friend wangu mpya....yule mdada mchafu lipokuja nyumnai akakutana na mdada mpya wakakorofishana na akatimuliwa kisailensa mpaka leo anabaki kunitukana wakati mwenzie nina furaha ya kubaki lonely na usafi wangu.
Nikupe pongezi ulimvumilia haswa
 
MPE tu maana huna maamuzi ndo maana unaomba ushauri kwa jambo ambalo tayari umefanya maamuzi ya kumpa,mkuu sample yako ndo huwa wanateswa sana Na wanawake!!
Tatizo nikiwa peke yangu akili yangu huwa inaafiki maamuzi bora kabisa! Hata hivyo tukishakutana tu na kuanza kunikumbatia basi huwa nashindwa kabisa kufanya maamuzi sahihi....jamani msaada wa mawazo ni muhimu sana hapa...
 
1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
Yaani tabia zote hizo alikua Nazo na bado ulikua unampa!? Lol wanawake sie tuna moyo sana
 
Wangu wivu ulizidi nakaguliwa simu, anani control niongee na nani nsiongee na nani, spies kila kona hata ckuwa najua mwisho wa siku kani surplise na pasi ya moto mpka leo nna kovu zaidi kataka nichoma kisu, nikaona oh ibaki story tu... mwaka sasa nafurahia matokeo ya uhuru, am free again [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Alikuwa hataki niwe karibu nae tuzungumze na kufanya mawili matatu yanayotuhusu! Akiwa ana shida anakuwa mpole wa kunilegezea sauti na unyenyekevu uliotukuka, lakini baada ya kumsaidia ananisahau kabisa mpaka inafika hata week. Siku moja nilimuomba mchezo akawa mkali zaidi ya mbogo aliyejeruhiwa na sime! Nikamvumilia! Juzi nikamuona kapakiwa kwenye shangingi na mtanzania mwenzangu mmoja hivi. Basi bwana nikavunga ingawa niliumia sana....sasa Jana akaja kuniomba msamaha na nikajikuta namkubalia.....sasa Leo anasema anashida na 30000/= sasa hivi nimpe au Nipige chini?
Pesa yako mtumie Mama yako huko kijjn koromije
 
It took me two years to move on! Hadi nikakukana na kijana mwengine ambae nilimuelezea sutuation na nikamuambia kuwa I am in a process to heal...nae akaniambia take all your time to heal and I'll be right here waiting for you when you are ready! Slowly nikajikuta na fall in love again with this guy na mwaka mmoja baadae tukaoana and we lived happily ever after... Hivi sasa mimi ni mama wa watoto wawili.

Kujua kuwa Mungu analipa hapax2 duniani, yule jamaa alitoswa na yule demu na hivi sasa bado hajaoa...How sad[emoji53]
hongera sana mkuu..nimejifunza kitu kutoka kwako.
 
Back
Top Bottom