Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huwa unarudi tena mkuu... Maana kila comment yko lazma useme utarud baadae afu sikuoni tena kurudi ha haNitarud baadae
Ahsante sana kwa ushauri wako....Pesa yako mtumie Mama yako huko kijjn koromije
nawe haueleweki muda mwingine yaani acha tu1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
[emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Manzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.
Una tabia mbaya kumsema mwenzako hivyo
Hiyo mbinu uliyotumia ni nzuri sana na nimeipenda.
Nikupe pongezi ulimvumilia haswa
View attachment 501552
Duniani kuna watu wachafu hivyo!!! Ata kama ni mchafu jamani, ukifika sehemu ya mtu msifa basi jifanye na wewe msafi... Alijibweteka ata kabla hajapata ndoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
lakini mkuu,si ungemuelimisha tu hayo mambo ya usafi?
wachaga unawasingizia...nimezaliwa uchagani na nimekulia uchagani lkn kule hakuna mambo ya ushirikina mkuu.
Nimecheka sana. Hivi kwa nn hii mbinu mnaipenda? Y usimwambie tu mm sitaki mazoea na wewe[emoji12]