Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Nilikuwa sijui maana halisi ya mapenzi zaidi puberty ilikuwa inasumbua
 
Sasa. Si ndio kila siku inakula kwangu? Yaani naumia Mara mbili......nihonge, nikataliwe na kusalitiwa! Jamani kwa nini mnakuwa hivi nyie wanawake?
hapana wanawake tunatumiza tu maandiko "mwanaume imeumbwa mateso"
 
Muda wote tulipokuwa wawili yy anataka tu kunyonywa na mm ninakinyaa kweli, nikamwaga manyanga
 
Muda wote tulipokuwa wawili yy anataka tu kunyonywa na mm ninakinyaa kweli, nikamwaga manyanga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we sail in the same boat to the same place. Nishaachwaga mataa kisa hiyo habari niligoma katakata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…