Alikua anatikisa kiberiti[emoji23]Aisee Kuna mwanamke ninataka kumuacha ila namuonea Huruma, Yaani yeye ndio alianzisha mada za kuachana na Mimi nikanza kutembea nazo, nikamwambia fresh tu tuachane, Cha ajabu baada ya siku moja akaanza kuniita Baby tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani we acha tu, tena siku hizi ndiyo wamezidi. Kila mtaa omba omba kibao, cha kushangaza hata wake za watu nao wamegeuka kuwa wagogo. Kwa kweli Ustawi wa Jamii inabidi waingilie kati hili suala la mke wa mtu kugeuka omba omba maana wanadhalilishwa sana huku mitaani. Unakuta mwanamke ana michango zaidi ya 10 lakini uwezo wa kulipia hiyo michango hana na ndiyo maana anakuwa changudoa wa siri. Sasa uje kukutana na hivi videmu vya vyuo vikuu, utalia. Hawa badala ya kusoma muda wote wanawaza kuwa na wanaume lukuki ili watambiane kwa kuomba mizinga na eventually kuambukiza wenzao magonjwa. Sijuwi tunakwenda wapi na hawa wanawake!Hakuna mwanamke anakera kama omba omba aisee (except mke/mama wa nyumbani). Unakuta ndo mmeanza mahusiano utamskia , nimepata msiba kama uko poa nichangie elfu kumi ya nauli, ukimwambia sasa hv siko poa kuna mishe naiskilizia...utashangaa mfululizo wa sms, vp mbona umenidanganya?, mara mbona hujanitumia hiyo pesa? , kimya? Utanitumia saa ngapi?
Usipomtumia anakukasirikia hata kukujulia hali hataki mpk umtafute yeye...!!!
Tena unakuta daily anafanya kazi na anapata pesa.
Ha haaUtaachwa sana,Endekeza UBAHILI
Sifa za kijinga na mdomo chiriku
Sawa mkuuNilkua nasubiri post yako,nalala sasa
Wanawake kama hao muwe mnaweka alama fulani wanaume wenzako wasikutane naye.Nmeachana nae mwaka jana.
1. Amelewa malezi mabovu sana.
2. Kauli mbovu
3. Anapenda hela sana
4. Anataka kuwa na maamuzi kama mwanaume.
5. Hajui kusema ahsante, samahani
6. Alihitimu chuo udom 2019 lakini ni kama mhitimu wa darasa la saba. Kipindi nakutana nae, nilimwambia anipe tarehe zake akasema yeye huwa anafanya hivyo hivyo tu mwisho wa siku akajaa tumbo, kimbembe kilianzia hapo... Akasema kwaoet nilitaka kumuua,, ilihali mm nilimzuia kutoa mimba mpaka nikamdanganya nitamtafutia dawa mpaka akajifungua.
7. Ni hajawahi kufokewa wala kukemewa toka utoto wake
8. Ni mgonjwa wa kutotibika. Nilimpenda tu coz niliamin hiyo issue ni ndog tu lakin duu..hapana.
9. Alipokuwa na mimba alitaka dela ya 160,000/_ hapa ndiponilipoelewa huyu dada ni mjinga.
10. Alipojifungua mtoto waling'ang'ania licha ya kutoa hela ya kujifungua na baadhi ya matumizi. MOLA ATASHUGHULIKA NAO.
niliamua kukaa kimya toka siku hiyo coz ilikuwa kila tukiongea lazima tugombane mpaka leo hii nilishafuta na namba nikasema, HUYO MTOTO ACHA AISHI NAE MPAKA KIFO KITAKAPO WATENGANISHA.
Muda mwingine ninbora ugonge malaya umalizane kuliko kuwa na demu mpenda helaMzuri ila gogo kitandani hata doggy tu inamshindaa...!! Kuja mwingine helaa mbelee yani hakuna tofauti na kununua malayaaaa
Hakuna madawa jombaa inatokea unammanya au kumuelewa binti wa mtu mazima. Unakuta msela amempenda demu then yeye anamchukulia poa, au binti kaelewa tu copy ilitolewa na wazazi wako kafa mazima..
Hadi leo hujaoa?Baada ya kwenda UDSM mchumba wangu akawa popo mbaya zaidi sikupata hata nafasi ya kumvua Pete yangu ya uchumba gold ring ya 350000 enzi hizo miaka ya 2006,hadi bado nampenda sana sema alishakuwa mtu maarufu na ameolewa na mtu maarufu,wazazi wananiambiaga hakuwa riziki yangu na pengine hasingekuwa mke mwema
😀Hapa kapatiaHadi leo hujaoa?
Aisee Kuna mwanamke ninataka kumuacha ila namuonea Huruma, Yaani yeye ndio alianzisha mada za kuachana na Mimi nikanza kutembea nazo, nikamwambia fresh tu tuachane, Cha ajabu baada ya siku moja akaanza kuniita Baby tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Nmeachana nae mwaka jana.
1. Amelewa malezi mabovu sana.
2. Kauli mbovu
3. Anapenda hela sana
4. Anataka kuwa na maamuzi kama mwanaume.
5. Hajui kusema ahsante, samahani
6. Alihitimu chuo udom 2019 lakini ni kama mhitimu wa darasa la saba. Kipindi nakutana nae, nilimwambia anipe tarehe zake akasema yeye huwa anafanya hivyo hivyo tu mwisho wa siku akajaa tumbo, kimbembe kilianzia hapo... Akasema kwaoet nilitaka kumuua,, ilihali mm nilimzuia kutoa mimba mpaka nikamdanganya nitamtafutia dawa mpaka akajifungua.
7. Ni hajawahi kufokewa wala kukemewa toka utoto wake
8. Ni mgonjwa wa kutotibika. Nilimpenda tu coz niliamin hiyo issue ni ndog tu lakin duu..hapana.
9. Alipokuwa na mimba alitaka dela ya 160,000/_ hapa ndiponilipoelewa huyu dada ni mjinga.
10. Alipojifungua mtoto waling'ang'ania licha ya kutoa hela ya kujifungua na baadhi ya matumizi. MOLA ATASHUGHULIKA NAO.
niliamua kukaa kimya toka siku hiyo coz ilikuwa kila tukiongea lazima tugombane mpaka leo hii nilishafuta na namba nikasema, HUYO MTOTO ACHA AISHI NAE MPAKA KIFO KITAKAPO WATENGANISHA.