Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Kuthibitisha ni story ndefu ila ukweli ndiyo huo....toka niko mdogo Mama alikuwa ananiambia mademu wa kuwaepuka, Wachagga, mademu wa Tanga, Kigoma. Baada ya kukua na kuona matukio nimeamini maono ya Mama kipenzi.
Umenikumbusha mbali make marehemu baba angu alikuwa akiwesema vibaya wanawake weupe asili,so hiyo mentality imenikaa kichwani hadi wa leo na kweli kila nikfatiliaga maisha ya wanawake weupe sana asili wana matatizo sana kuanzia ubintini hadi ndoani.Nadhani ile tunavyowatukuza wakiwa wadogo inawapa kiburi sana na kujiona wao ni bora kuliko weusi/maji ya kunde.Mweupe simpagi first choice hata siku moja.Pia linganisha ndoa au mahusiano yenye migogoro kati ya wanawake weupe na weusi utanikumbuka
 
Umeniua kabisa na sasa shida kuubwa iko hapo wengi walioko na mabwawa hua wanasema jamaa kibamia manake naskia hua kwa wanawake wakiwa mabwawa hawajijui ila mwanaume unapoogelea ndio unajua duu soo hii...
Napendaga mabwawa sijui kwa nini jamani,nikipata ya kubana bana uwa siinjoy kabisa,yaani ile K ambayo tayari imepata uzoefu ndo uwa napenda kushughulika nazo,hasa nampenda ule mlio unaotoka mashineni hd raha,but twakubana hovyo mara kaseme kanaumia,mara karukeruka kule na kule
 
Mm wangu alikuwa mshabiki wa chadema nilimkataza hajanisikia mnk mpk mikutano ya chadema hapo Arusha mjin ikifanyika anafunga safari kutoka kwao ngaramtoni huko na sikafu yake au kofia yake yumo katikati ya mkutano wa lema anautubiaa [emoji16] siku mabomu yanapigwa pale arusha ktk uwanja wa soweto yumo hapo almanusura apigwe afe kwani Ni mmoja wa majerui wa tukio lile

Nilikah nae nikamkataza ila hajanielewa na umwambii kitu kuhusu chdema au kina mbowe na kina lema
Nikaona isiwe tabu Bila shaka huyu ataendana na wanachadema tu mm kipindi hicho Niko ccm daima

Na pia ishu zake zakutaka mm ninyonye papuchi yake nikagoma aliniona mshamba fln HV nikaona Happ sina mmke hap hzo mchezo siwezi na alikuwa Kisu mbaya mbovu

Sasa HV nasikia Yuko ddm .
Huyo alikua hakupendi na hakuelewi alikua anakutafutia sababu tu umuache
 
Aligoma kunyonya dushe siku ya kwanza tu nikamtema maana sikuona haja ya kuwa na mtu ambaye sitakuwa na furaha nikiwa naye japokuwa anadaigi kuwa kwa sasa anaweza nyonya sasa nikawa najiluliza alianza kunyonya ya nani.
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wakwanza,alitembea na baba yangu mdogo,wa pili ni malaya,ana maex wengi na wote wakimtaka wanamnyandua japo wengine wameoa.Hana akili ya kujitathmini kwa ufupi,hachagui watoto wala wakubwa,anaachia tu.Najuuutia kudeti nae,anagongwa hovyohovyo hadi na marafiki zangu,ni malaya japo ana kazi nzuri tu.Ni malaya,yaani malaya,ukipata namba yake tu,unamla,tena unamlia kwake,sijui ana pepo la ngono,sijui.
Nipe namba yake niwasaliane nae aje kanisani kwangu nimuombea



Hakika yesu kristo ni mkombozi
 
Kupotezewa

Bwana wa zamani alikua anapenda kuimba imba. Nikituma sms kumsalimia atajivuta sana kujibu, nikimuambia nmem-miss atafoka namtoa kwene mood ya kuimba [emoji23] na ni muda wote alikua hivyo. Nikienda kwake wakat naondoka hata kunisindikiza hakua anataka nikaelewa tu hapa sitakiwi nikajitoa kimya kimya. Akaja kuhoji vipi umepata bwana mwingine ?? nikashangaa kwa anayoyafanya anategemea niendelee nae ili iweje. Mwaka jana niliskia amefariki [emoji17]

R.I.P Inno
 
Uchafu

Huyu alikua haogi hadi umkumbushe na ata akioga hatakati.Yeye akitoka kwene mishe zake na jasho lake atataka akae na mimi hivyo hivyo no kuoga no nini. Niliongea mtu habadiliki na shida yangu siwez kuongea kitu kwa kurudia rudia tena kumuelekeza mtu mzima na akili zake huwa nachoka. Nilinyamaza na kuonana nae nikaacha. Hadi leo ananilalamikia anisamehe tu mimi mtu ambae hataki kubadilika kwa kweli huwa siwezi
 
Uchafu

Huyu alikua haogi hadi umkumbushe na ata akioga hatakati.Yeye akitoka kwene mishe zake na jasho lake atataka akae na mimi hivyo hivyo no kuoga no nini. Niliongea mtu habadiliki na shida yangu siwez kuongea kitu kwa kurudia rudia tena kumuelekeza mtu mzima na akili zake huwa nachoka. Nilinyamaza na kuonana nae nikaacha. Hadi leo ananilalamikia anisamehe tu mimi mtu ambae hataki kubadilika kwa kweli huwa siwezi
Hilo tatizo mbona Ni dogo, wewe si unampelekea tu maji ya kuoga halafu unamwambia maji tayari.
 
Alikua anajua safari ya kwa Baba Mwenyezi Muumba ilikuwa inakaribia akajiaandaa.

Apumzike kwa amani
Kupotezewa

Bwana wa zamani alikua anapenda kuimba imba. Nikituma sms kumsalimia atajivuta sana kujibu, nikimuambia nmem-miss atafoka namtoa kwene mood ya kuimba [emoji23] na ni muda wote alikua hivyo. Nikienda kwake wakat naondoka hata kunisindikiza hakua anataka nikaelewa tu hapa sitakiwi nikajitoa kimya kimya. Akaja kuhoji vipi umepata bwana mwingine ?? nikashangaa kwa anayoyafanya anategemea niendelee nae ili iweje. Mwaka jana niliskia amefariki [emoji17]

R.I.P Inno

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Hilo tatizo mbona Ni dogo, wewe si unampelekea tu maji ya kuoga halafu unamwambia maji tayari.
Atakuambia anapumzika kachoka na usipomkomalia haogi kabisa nikaona isiwe tabu kubembelezana kuoga watu wazima hapana kwa
kweli kurudia rudia kitu hicho hicho huwa nachoka.
 
Wanaoachwa inabidi waanzishe uzi wao wakatoe sababu zao huko, huu uzi Ni kwaajili ya wale tunaopiga chini tu.
Mimi niliachwa na kuacha eti soma hapo juu. Mtu anakuacha kimya kimya afu anakuja kukuuliza kinafki tu kumbe ulishaachwa zaman anakuinjoi tu
 
Apumzike nini wakati ukishaoga ndo unapumzika, hao ndo utotoni kuoga ilikuwa mpaka wapike wali.
[emoji23] Uchafu tu ulikua damuni. Mtu ana majasho ya toka asbh na haoni tabu na nisivyopenda majasho aah nikaona nini shida nilijisepesha atafute mchafu mwenzake..
 
Back
Top Bottom