Kapumpuli
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,040
- 2,674
Majuzi nimemshuhudia hapo Samaki Samaki, akishangiliwa kabisa Kwa nguvu na mashabiki wake.... Na akapata nafasi ya kuwahutubia mashabiki wake hapo! Hakika lilikuwa vibe Sana.... Alikonga Sana nyoyo za mashabiki....
Na alisindikizwa na Mpoki, Tajiri la kihaya sambamba na Oscar Oscar, Mzee wa Kaliua....
Hakika "Mandonga mtu Kazi"....
Big up kwake....
Na alisindikizwa na Mpoki, Tajiri la kihaya sambamba na Oscar Oscar, Mzee wa Kaliua....
Hakika "Mandonga mtu Kazi"....
Big up kwake....