njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Narudia tenaa utakuwa nii jinga la mwisho kuamini kwamba media za makanjanja zinataka simba sc ifuzu robo fainali
Bahasha za khaki zishatembea kilichobaki ni Leo shughuli inaanza rasmi
Maana kila simba akiwa na week ya mechi ngumu utasikia nawapeleka mahakamani walinifanyisha kazi bila mkataba, Mara Manara anapigiwa Simu kuconfirm kwamba afisa habari wa simba hana gari
Mara zeruzeru anadai Manula kampigia Simu kumbebeleza asajiliwe utopoloni
Leo SAA tatu asubuhi ile redio yenye wachambuzi mashambenga wanaotangaza huku wakijitikisa mabega na vidoti vyao mada in moja kuiua simba na week yote hii makanjanja shughuli waliyopewa ndiyo hiyo
Utasikia afisa habari wa simba hana I phone bwana, kwa nini? Embu tumpigie Manara kupata maoni yake
Bahasha za khaki zishatembea kilichobaki ni Leo shughuli inaanza rasmi
Maana kila simba akiwa na week ya mechi ngumu utasikia nawapeleka mahakamani walinifanyisha kazi bila mkataba, Mara Manara anapigiwa Simu kuconfirm kwamba afisa habari wa simba hana gari
Mara zeruzeru anadai Manula kampigia Simu kumbebeleza asajiliwe utopoloni
Leo SAA tatu asubuhi ile redio yenye wachambuzi mashambenga wanaotangaza huku wakijitikisa mabega na vidoti vyao mada in moja kuiua simba na week yote hii makanjanja shughuli waliyopewa ndiyo hiyo
Utasikia afisa habari wa simba hana I phone bwana, kwa nini? Embu tumpigie Manara kupata maoni yake