Leo media zinaanza kuivuruga Simba isifuzu robo fainali

Leo media zinaanza kuivuruga Simba isifuzu robo fainali

Mtoa mada tumia busara futa huu uzi.

Alafu next time jifunze kutofautisha ushabiki wa mpira, ugomvi binafsi, chuki na ubinadamu
 
Mtoa mada tumia busara futa huu uzi.

Alafu next time jifunze kutofautisha ushabiki wa mpira, ugomvi binafsi, chuki na ubinadamu
shughuli ishaaanza hiyooooooo
Screen Shot 2022-03-28 at 11.40.14 AM.png
 
Narudia tenaa utakuwa nii jinga la mwisho kuamini kwamba media za makanjanja zinataka simba sc ifuzu robo fainali

Bahasha za khaki zishatembea kilichobaki ni Leo shughuli inaanza rasmi

Maana kila simba akiwa na week ya mechi ngumu utasikia nawapeleka mahakamani walinifanyisha kazi bila mkataba, Mara Manara anapigiwa Simu kuconfirm kwamba afisa habari wa simba hana gari

Mara zeruzeru anadai Manula kampigia Simu kumbebeleza asajiliwe utopoloni

Leo SAA tatu asubuhi ile redio yenye wachambuzi mashambenga wanaotangaza huku wakijitikisa mabega na vidoti vyao mada in moja kuiua simba na week yote hii makanjanja shughuli waliyopewa ndiyo hiyo

Utasikia afisa habari wa simba hana I phone bwana, kwa nini? Embu tumpigie Manara kupata maoni yake



View attachment 2166774
Ujinga ni mzigo, hayo maneno yanaiathiri vipi Simba?
 
Kila week yenye mechi muhimu nyumbani lazima rushwa inayotoka in kubwa sana kama huamini sikiliza efm Leo uone muelekeo wao halafu kubalance story A kuikandia simba atapigiwa Simu albino.

Majitu ya ajabu sana haya eti huwa yanatoa machozi ya mamba kwa mini teams za bongo hazifanyi vizuri afrika huku week hii wako kazini kuhakiksha hatufuzu
Huu upuuzi anaefanya ni kitenge maulid hao wengine unawaonea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga ni mzigo, hayo maneno yanaiathiri vipi Simba?
kawaonye sasa hao watoa bahasha za khaki na hayo makanjanja yaache kama haina faida...kila week ya mechi ngumu za africa hii mambo hufanyika labda kama una akili nzito za kindezi hulionagi hilo
 
Sasa si uende ukaombe kazi ya uhariri kwenye hilo gazeti ili hao waandishi waandike vile unavyotaka wewe? Huku kubweka bweka humu kunasaidia nini?
we ni kubwa jinga kweli hapo chinbi uongozi wa utopolo uko qouted kwamba hakuna wa kumnununa mayele bongo halafu hapo juu tena habari imeandikwa kwa uhakika kabisaaaaaa ikimquote zeruzeru..kudadaeeki walahi hii ni jumatatu kesho tusubiri mengine bahasha za khaki zinatoa watu utu huku
 
Narudia tenaa utakuwa nii jinga la mwisho kuamini kwamba media za makanjanja zinataka simba sc ifuzu robo fainali

Bahasha za khaki zishatembea kilichobaki ni Leo shughuli inaanza rasmi

Maana kila simba akiwa na week ya mechi ngumu utasikia nawapeleka mahakamani walinifanyisha kazi bila mkataba, Mara Manara anapigiwa Simu kuconfirm kwamba afisa habari wa simba hana gari

Mara zeruzeru anadai Manula kampigia Simu kumbebeleza asajiliwe utopoloni

Leo SAA tatu asubuhi ile redio yenye wachambuzi mashambenga wanaotangaza huku wakijitikisa mabega na vidoti vyao mada in moja kuiua simba na week yote hii makanjanja shughuli waliyopewa ndiyo hiyo

Utasikia afisa habari wa simba hana I phone bwana, kwa nini? Embu tumpigie Manara kupata maoni yake



View attachment 2166774
Hata hao waandishi wasipoandika, Simba ndiyo basi tena. Simba watafungwa 3-0 na USGN kwa Mkapa.
 
we ni kubwa jinga kweli hapo chinbi uongozi wa utopolo uko qouted kwamba hakuna wa kumnununa mayele bongo halafu hapo juu tena habari imeandikwa kwa uhakika kabisaaaaaa ikimquote zeruzeru..kudadaeeki walahi hii ni jumatatu kesho tusubiri mengine bahasha za khaki zinatoa watu utu huku
Utakuwa una akili kisoda bila shaka! Hayo magazeti mbona ni kawaida sana kuandika taarifa kama hizo, lakini ukisoma ndani unakutana na taarifa tofauti? Na lengo hasa ni kuvutia tu biashara, ili maisha yaendelee mjini!

Sisi wakubwa zako tulisha yapuuza kitambo! Sasa wewe umetoka zako Kolomije huko, ndiyo unashupaza shingo kweli kweli! Una shida mahali wewe bila ya kupepesa macho!
 
Utakuwa una akili kisoda bila shaka! Hayo magazeti mbona ni kawaida sana kuandika taarifa kama hizo, lakini ukisoma ndani unakutana na taarifa tofauti? Na lengo hasa ni kuvutia tu biashara, ili maisha yaendelee mjini!

Sisi wakubwa zako tulisha yapuuza kitambo! Sasa wewe umetoka zako Kolomije huko, ndiyo unashupaza shingo kweli kweli! Una shida mahali wewe bila ya kupepesa macho!
we mzeee leo sijakuona kwenye nyuzi kuhusu GSM au ushachoka maana raia wanatema nyongo balaa, umekazania uzi huu kumtetea zeruzeru
 
Hata hao waandishi wasipoandika, Simba ndiyo basi tena. Simba watafungwa 3-0 na USGN kwa Mkapa.
usiseme waandishi wewe kuwa na adabu sema MAKANJANJA PRO MAX waandishi ni kama kina jeneral ulimwengu siyo hizo takataka ,simba nakwenda hadi nusu fainali wapende wasipende
 
Narudia tenaa utakuwa nii jinga la mwisho kuamini kwamba media za makanjanja zinataka simba sc ifuzu robo fainali

Bahasha za khaki zishatembea kilichobaki ni Leo shughuli inaanza rasmi

Maana kila simba akiwa na week ya mechi ngumu utasikia nawapeleka mahakamani walinifanyisha kazi bila mkataba, Mara Manara anapigiwa Simu kuconfirm kwamba afisa habari wa simba hana gari

Mara zeruzeru anadai Manula kampigia Simu kumbebeleza asajiliwe utopoloni

Leo SAA tatu asubuhi ile redio yenye wachambuzi mashambenga wanaotangaza huku wakijitikisa mabega na vidoti vyao mada in moja kuiua simba na week yote hii makanjanja shughuli waliyopewa ndiyo hiyo

Utasikia afisa habari wa simba hana I phone bwana, kwa nini? Embu tumpigie Manara kupata maoni yake



View attachment 2166774
Sasa Simba ifuzu robo fainali kwa timu ipi? Au umejisahaulisha hata kwenye makundi imeingia kimagumashi? Msingewachezesha wale Wazambia kwenye mvua walikuwa wanawamaliza mapema tu.
 
Sasa Simba ifuzu robo fainali kwa timu ipi? Au umejisahaulisha hata kwenye makundi imeingia kimagumashi? Msingewachezesha wale Wazambia kwenye mvua walikuwa wanawamaliza mapema tu.
hizi habari za kimataifa bora nibishane na namungo na biashara maana atleast kwa hii mika 5 wanajua nini maana ya kucheza kimataifa siyo wehu wanaopigwa nje ndani asubuhi mapeeeema OUT walichobakiza ni kutembeza mabahasha ya khaki utadhani ma messenger wa BOT
 
kawaonye sasa hao watoa bahasha za khaki na hayo makanjanja yaache kama haina faida...kila week ya mechi ngumu za africa hii mambo hufanyika labda kama una akili nzito za kindezi hulionagi hilo
Hio bahasha ya kaki ina izuia vp Simba kufuzu na ikifuzu ina athirika na nini?
 
Back
Top Bottom