mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Kama alivyosema Luc Eymael eeh?Mnajisikia raha sana kubweka bweka humu kama mbwa koko. Kila siku ni kubweka bweka tu, kuwakejeli watu, kuwasingizia uongo, na kuwatukana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alivyosema Luc Eymael eeh?Mnajisikia raha sana kubweka bweka humu kama mbwa koko. Kila siku ni kubweka bweka tu, kuwakejeli watu, kuwasingizia uongo, na kuwatukana!
Mnapoambiwa nyie ni hamnazo muwe mnakubali. Zambia wao mvua huwa hazinyeshi? Una uhakika gani kwamba hiyo timu huko kwao haijawahi kucheza mpira kwenye mazingira ya mvua?Sasa Simba ifuzu robo fainali kwa timu ipi? Au umejisahaulisha hata kwenye makundi imeingia kimagumashi? Msingewachezesha wale Wazambia kwenye mvua walikuwa wanawamaliza mapema tu.
Kalipeni deni LA mtibwa na zile teams 15 mafala waluovalishwa logo miezi sitaa bila kulipwa mnaaibisha mababa ya watu yamekuwa addicted na bahasha zenu hata akili kidogo walizojaliwa na mungu zishapoteaHio bahasha ya kaki ina izuia vp Simba kufuzu na ikifuzu ina athirika na nini?
Sasa huyo Shaffi Dauda kuna analolijuwa kwenye mpira?Nimeona Hawa EFM sport HQ hovyo kabisa, wao ni kama wapo kwenye bongo movie solon ya mama kimbo!!! EFM ni shilawadu kabisaaaa!!!
Wawaige
Clouds sports round up/ Sports extra wanachambua vizuri Kwa weledi mpaka unajifunza kitu hasa technically
Pia UFM radio wako vizuri Sana mpaka huchoki kuwasikiliza.
Lugha yetu inamaanisha Haji ni zeruzeru ndio kibantuHata kama unamchukia Haji Manara kwa kiwango gani! Ila bado ujitahidi kutumia lugha ya staha.
Kumuita jina la 'zeruzeru' kwa sababu tu ya ulemavu wake wa ngozi, kunakuondolea sifa ya kuitwa Great Thinker.
Uzuri Mungu ni Fundi! Na kabla hujafa, basi utambue fika bado hujaumbika.
Aiseee efm inasikitisha sana siku kitenge anakomalia gari LA msemaji waaa simba Dk 40 nzima hadii anampigia Simu albino eti kumuuliza utadhani huo ujinga waa fake chats za WhatsApp hawakutengeneza waoNimeona Hawa EFM sport HQ hovyo kabisa, wao ni kama wapo kwenye bongo movie solon ya mama kimbo!!! EFM ni shilawadu kabisaaaa!!!
Wawaige
Clouds sports round up/ Sports extra wanachambua vizuri Kwa weledi mpaka unajifunza kitu hasa technically
Pia UFM radio wako vizuri Sana mpaka huchoki kuwasikiliza.
Dauda unaweza kumlinganisha na poyoyo kitenge?Sasa huyo Shaffi Dauda kuna analolijuwa kwenye mpira?
Ile redio wajinga sana. Michezo na uchambuzi ni redio mbili tu clouds na UFM basi.Aiseee efm inasikitisha sana siku kitenge anakomalia gari LA msemaji waaa simba Dk 40 nzima hadii anampigia Simu albino eti kumuuliza utadhani huo ujinga waa fake chats za WhatsApp hawakutengeneza wao
Bora usikilize redio Tumaini michezo kuliko EFMAiseee efm inasikitisha sana siku kitenge anakomalia gari LA msemaji waaa simba Dk 40 nzima hadii anampigia Simu albino eti kumuuliza utadhani huo ujinga waa fake chats za WhatsApp hawakutengeneza wao
Tanzania mchambuzi ni Dr Ricky tu, hizo nyingine zote ni takataka tu.Dauda unaweza kumlinganisha na poyoyo kitenge?
Sio kila propaganda inawekwa kwa lengo la kuwa affect wachezaji, hata mashabiki piaMtoa mada kuwa na akili basi,yaani maneno ya kwenye radio yana madhara gani kwa timu ya simba?
Yaani mtanganzaji akiongea Sana ndo sakho ashidwe kufunga pamoja na kwamba amejiandaa vizuri mazoezini?..
Tshabalalala ashidwe kuzuia mashambulizi ya mpinzani kisa maneno ya kwenye radio?
Binafsi naomba relation kati ya maneno ya mtanganzaji na effect inayotokea kwenye perfomance ya timu ?
Ulivyo Fi...rwa na rivers united zilikiuwa media?Tulieni mshonwe mbwa nyie,lazima mpigwe,media ndo zinacheza uwanjani?
Mtoa mada kuwa na akili basi,yaani maneno ya kwenye radio yana madhara gani kwa timu ya simba?
Yaani mtanganzaji akiongea Sana ndo sakho ashidwe kufunga pamoja na kwamba amejiandaa vizuri mazoezini?..
Tshabalalala ashidwe kuzuia mashambulizi ya mpinzani kisa maneno ya kwenye radio?
Binafsi naomba relation kati ya maneno ya mtanganzaji na effect inayotokea kwenye perfomance ya timu ?
Duuuu nawe umeingia kwenye mtego huu??? Swali hili lilitakiwa kuuliswa na darasa la nne. Kwahiyo hayo maneno kisaikolojia hayana uhusiano kwel???Mpira unachezwa kwenye media au uwanjani???
Hii ni dalili simba mnajiandaa kushindwa vibaya mnoo 😂
Andaeni kikosi acheni uogaDuuuu nawe umeingia kwenye mtego huu??? Swali hili lilitakiwa kuuliswa na darasa la nne. Kwahiyo hayo maneno kisaikolojia hayana uhusiano kwel???
Kabisa mkuu, huyu jamaa hajui jinsi maneno yalivyo na nguvu. Hata Arsenal akicheza na Mbeya city kutokana na nguvu ya maneno, Arsenal wakisakamwa kwa maneno wanafungika tu na Mbeya city. Maneno yana nguvu sanaInatosha kujua huna akili hata ya kujua tu maana nguvu ya maneno.
Wanamuharibia biashara mwenye radio yake. Kwani aliwaajili kwaajili ya mipasho au kufanya kipindi Kwa weledi?Kabisa mkuu, huyu jamaa hajui jinsi maneno yaliyo na nguvu. Hata Arsenal akicheza na Mbeya city kutokana na nguvu ya maneno, Arsenal wakisakamwa kwa maneno wanafungika tu na Mbeya city. Maneno yana nguvu sana
We ndo huna akili,yaani maneno ya jamaa wachache ndo waifelishe timu?Inatosha kujua huna akili hata ya kujua tu maana nguvu ya maneno.