Leo Mji wa Dar; Gesti, Hotel na Lodge nyingi zimejaa

Leo Mji wa Dar; Gesti, Hotel na Lodge nyingi zimejaa

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Inasikitisha sana kwa hali ya hewa ya leo kuna mtu anaenda kuambukizwa virusi vya Ukimwi, leo hii kuna mtu anaenda kubambwa na mke wa Mtu, Leo hii kuna mtu atapata mimba isivyotarajiwa na safari ya usingle mother inaanza kwake rasmi, Leo hii kuna mtu atafuma meseji za usaliti na violence itafanyika kwa kiwango cha juu.

Shetani awe nanyi wote mliofanya booking toka alfajiri na kusababisha vyumba kujaa kwasababu za ubinafsi wenu wa kwenda kufanya ushenzi huko gesti/lodge na hotel.

Na wote tuseme Amen..
 
Watu bwana eti mji mzima, kwamba umetembelea Lodge zote za Dar? Sinza, Mbagala, Kiwalani, Gongolamboto? Kawe, Kinondoni, Temeke , Kkoo yote mpk Kigamboni na huko Kunduchi kote umeenda? Haya hongera kwa kuanzisha uzi
 
Mbona huku chanika tuko tunaandaa shamba na wasabato wanasikika wakiimba tenzi za rohoni
Haya uliyoandika Yako dunia nzima
 
Nipo MIC hotel hapa mrembo wowote wa maeneo ya ubungo na sinza nicheki tujivinjari wikend
 
Wacha watu watumie hela bwana....sasa tukae ndani tunapiga nyeto ndio ufurahi?
Nina jidada ilo Shekilango hapo oyaah. Nililipata pale Kitambaa.

Jamii ya kina Malaika Kyuti.
 
Ni vile leo sina hela, ila hii hali ya hewa sio ya kukaa ghetto.
Raha jipe mwenyewe. Uzuri vitendea kazi vyote unavyo mwenyewe geto/maungoni.

Chukua sheria mikononi mwako. Na raha ya hili unaweza muwazia hata Beyonce.
 
Raha jipe mwenyewe. Uzuri vitendea kazi vyote unavyo mwenyewe geto/maungoni.

Chukua sheria mikononi mwako. Na raha ya hili unaweza muwazia hata Beyonce.
Nina Dofi ya kufulia, Family ya kuogea na Korie ya kupikia.

Mkuu hunitakii mema wewe.
 
Nipo naosha mb na detto hapa nika vamie mtumbwi wa viwango morroco. Ukimwi ume nikosa
 
IMG_0187.jpeg
Leo movies tu
 
Inasikitisha sana kwa hali ya hewa ya leo kuna mtu anaenda kuambukizwa virusi vya Ukimwi, leo hii kuna mtu anaenda kubambwa na mke wa Mtu, Leo hii kuna mtu atapata mimba isivyotarajiwa na safari ya usingle mother inaanza kwake rasmi, Leo hii kuna mtu atafuma meseji za usaliti na violence itafanyika kwa kiwango cha juu.

Shetani awe nanyi wote mliofanya booking toka alfajiri na kusababisha vyumba kujaa kwasababu za ubinafsi wenu wa kwenda kufanya ushenzi huko gesti/lodge na hotel.

Na wote tuseme Amen..
Acha watu wa enjoy maisha yenyewe mafupi
 
Inasikitisha sana kwa hali ya hewa ya leo kuna mtu anaenda kuambukizwa virusi vya Ukimwi, leo hii kuna mtu anaenda kubambwa na mke wa Mtu, Leo hii kuna mtu atapata mimba isivyotarajiwa na safari ya usingle mother inaanza kwake rasmi, Leo hii kuna mtu atafuma meseji za usaliti na violence itafanyika kwa kiwango cha juu.

Shetani awe nanyi wote mliofanya booking toka alfajiri na kusababisha vyumba kujaa kwasababu za ubinafsi wenu wa kwenda kufanya ushenzi huko gesti/lodge na hotel.

Na wote tuseme Amen..
Pole kwa kukosa ghetto la kut%mbea.

Kama una gari unaweza kula mbususu humo
 
Nina jidada ilo Shekilango hapo oyaah. Nililipata pale Kitambaa.

Jamii ya kina Malaika Kyuti.
Piga pass ya upendo mwanawane maana hii wikend nimejaa mihela mpaka inamwagika nataka nideal na mishangazi mpaka jtatu usubuhi
 
Back
Top Bottom