Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi uwe Mrs Duke TachezMm sio mrs Ivan.
Anakwambia hataki kumwambia atamdisapoint kwa hiyo anamuacha aendelee na mapishi haya hayainaelekea anajua kupika ila mshauri apunguze mafuta mengi kwenye chakula
Bora niwe singleBasi uwe Mrs Duke Tachez
Mmm!!!! Dharau hizoBora niwe single
hahahaha, tatizo hataki kumwambia ukweli, ila pia jamaa anakwambia haoni kasoro hapo hahahahahaHahaha huyo shemeji yetu sijui atakua katokea wap,anataka kabisa kumtanguliza mbele za haki huyu kijana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora niwe single
Mkuu hili diko silielewi kabisa asee!!
AiseeeBora niwe single
Hahahahahaha, mkuu be free usiogope wageni wakija watajua bahati mbaya tu mafuta yamekuwa mengi kwa hiyo hiyo. Ila ni bora ukamwambia ukweliSikumwambia sitaki kumdisaapoint atajisikia vibaya ila mimi naona msosi upo fresh comments zenu zinanifanya nianze ku avoid wageni
Hahahaaaa, jogoo la kisasa lisiloweza kufanya chochote, nimeipenda hii mkuuusipo fanya mazoezi utakua kama jogoo la kisasa lisilo weza kufanya chochote mafuta yote hayo ya nini?
kwanza sijaelewa mchanyato huo wa samaki, kitimoto, kongolo sijui unaitwje?Nipeni maoni leoView attachment 746412