Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani


Mm mayai na vitumbua vikae mbali na mmi kabisa.

Kitafunwa sio lazima kiwe kitu kilichotumbukizwa kwenye mafuta, waweza kutumia mihogo ya kuchemsha, viazi vya kuchemsha, ndizi za kuchoma, karanga za kukaanga,

Vitafunwa vya kuchemsha ni Vizur sana
 
Ni maziwa peke yake yaliongezeka ama na makalio pia?
 
Muelekeze pia kuwa hupendi mafuta mengi na si mazuri kiafya. Tumia lugha ya upole. Kuposti hapa chakula alichopika mfano akipita huku akaona. Itakuwa umemdhalilisha na pia itamvunja moyo. Msaidie kwa mapenzi kama mkeo. Muelekeze aina ya mapishi unayopendelea
 
pili mafuta ni mengi sana
Mkewe ni mtaalamu...anaona kabisa mume ni muendesha gari kubwa (rejea avatar ya mleta mada), magari amabayo yanahitaji msuri hasa linapokuwa na matatizo...za kaona amuongezee 'nishati' ya kutosha kwa ajili ya kuimarisha msuri.
===
Mleta mada kapotez ela ha ha haaaa! (Nime 'joke' hivi kwa sababu hatujamsikiliza anayetuhumiwa kupika hivyo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…