Naona alitaka kupika roast ya biriani akafailSawa nimekuelewa! Kila mtu anakipenda anachokipenda! Ila sidhani kama kuna mtu anapenda msosi mbaya!
Hapo wifi apunguze mafuta na ajifunze kupika pia ila kakaetu azidi kunogewa!
kweli,inaonyesha jamaa anadtishwa na weseSawa nimekuelewa! Kila mtu anakipenda anachokipenda! Ila sidhani kama kuna mtu anapenda msosi mbaya!
Hapo wifi apunguze mafuta na ajifunze kupika pia ila kakaetu azidi kunogewa!
Watu nao kwani anakula kila siku hivyoo?hongera mkuu,usiwasikilize wanaoponda chakula cha wife wako,mafuta mengi,mayai mengi nk ndio swaga unazozipenda ndio maana umekuja hadi kumsifia ina maana unakikubali chakula chake,na yeye kakupikia hivyo anajua mme wake ndio unapenda so enjoy mkuu msosi murua
si ili mradi tuu kutoana kasoro,hata kama anakula kila siku hivyo yeye si ndivyo anavyopenda?Watu nao kwani anakula kila siku hivyoo?
Umeonaaa hapo ni kupunguza mafuta basi wengine hata kuchemsha yai hawajui tatizo wengi wamezoea kupikiwa mampotompotondio maana mkiendaga kul kiepe wengine wanasema zege likauke,wengine lisikauke sana,wengine nataka nyama ya kiti moto maana ina mafuta sana,wengine usiweke ya mafuta,wengine nyama choma ikauke sana,au mi michuzi sitaki nk,so na yeye ndio chaguo lake,hivi una habari kuna wanawake hawajui hata kuchemsha maji jikoni sasa huyo mkewe anajua kupika labda atamwambia tu punguza mafuta kidogo nk
Abee![emoji16]Duh! Mkeo anajua sana kubembeleza ndoa. I hope na chumbani yuko vizuri...
I hope ana maufundi ya kukuliza kama bundi 🙄
Yaani unaweza kuta wao huko unavyopikiwa mmm Mungu ndiye ajuaye kwanza wengi wao humu mijini hawajui kupika hata ugalisi ili mradi tuu kutoana kasoro,hata kama anakula kila siku hivyo yeye si ndivyo anavyopenda?
kweli mkuu kuna tofauti kati ya kuto kujua kitu na kukisahihisha au kukiboresha,sasa huyo mapishi anaboresha tuu sio kuwa hajui kupikaUmeonaaa hapo ni kupunguza mafuta basi wengine hata kuchemsha yai hawajui tatizo wengi wamezoea kupikiwa mampotompoto
[emoji28] [emoji28] [emoji28] ulivyoitika sasa hongeraAbee![emoji16]
Yaani bado namuwazia hapa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Naona alitaka kupika roast ya biriani akafail
na ndio wengi,wa baby twende kwa mpemba tukaleYaani unaweza kuta wao huko unavyopikiwa mmm Mungu ndiye ajuaye kwanza wengi wao humu mijini hawajui kupika hata ugali
Asa huyo akichepuka akipata mpishi haswaaa harudi kwa mkewe!kweli,inaonyesha jamaa anadtishwa na wese
Ndiyo kabisa mkuu, hapo ni kurekebisha tu, tumpe hongera zake mkuu kwa kuwa na mkewe ajuaye kupika,kweli mkuu kuna tofauti kati ya kuto kujua kitu na kukisahihisha au kukiboresha,sasa huyo mapishi anaboresha tuu sio kuwa hajui kupika
kweli mkuu usemaloNdiyo kabisa mkuu, hapo ni kurekebisha tu, tumpe hongera zake mkuu kwa kuwa na mkewe ajuaye kupika,
wengine utakuta chakula kizuri mpaka wabebane hotelini
Mkuu vipi!? Unakaa mitaani nikutumie msosi mtamuYaani unaweza kuta wao huko unavyopikiwa mmm Mungu ndiye ajuaye kwanza wengi wao humu mijini hawajui kupika hata ugali
Jiandae na Gout.
Utumbo huoKuku na gout wapi na wapi
Tuache sisi tuleleqe in our late 40s bana....daaadewkwii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wakati hata nyumbani unaweza kaanga kuku wako supu mambo muluwaaa kabisana ndio wengi,wa baby twende kwa mpemba tukale