Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,529
- 6,095
sana mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji23] nimesoma mwanzo nikaduwa kumbe umeiona [emoji28] [emoji28] [emoji28], fake kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji23] nimesoma mwanzo nikaduwa kumbe umeiona [emoji28] [emoji28] [emoji28], fake kibao
Pole sana. Hakuna kitu nakipenda kama kumpikia mwanaume wangu. Kama nakuchukulia poa poa ndo nakuagiza take away ila ukinigusa kumoyo utakula mapishi yote mazuri nayoyajuasiku hizi wanawake wa hivyo mkuu wa kumulika na tochi,wanaojua hata jiko likoje,wengi ni wa baby nataka take away,mikono inajua kupangusa simu tuu aingie mtandaoni
woooow1 mkuu uko poa sector zote,kikubwa udatishwe tuu,utatoa hadi ya chumbaniPole sana. Hakuna kitu nakipenda kama kumpikia mwanaume wangu. Kama nakuchukulia poa poa ndo nakuagiza take away ila ukinigusa kumoyo utakula mapishi yote mazuri nayoyajua
Na kuongeza nguvu za kiume. Maana atakua team kimoja chali soonkwanza alivyo sema kuoa raha ina maana yuko yeye na mke wake . ngoa tuwasubirie siku wakija kuomba ushauri wa kupunguza unene
Yaani nikidata mbona hata kuni ntapikia [emoji23][emoji23][emoji23]woooow1 mkuu uko poa sector zote,kikubwa udatishwe tuu,utatoa hadi ya chumbani
Aaah chakula gani hicho, mimafuuuta kama nini!!!
Matiti + uwii = sina imani na uanaume wa jamaahahahaahahaahaha kwahiyo mpaka saizi una matiti kijana wangu
Ukitanguliza matatizo huko mbele huwezi furahia ndoa, wewe pale upatapo furaha furahia tu ikija shida lia kung'unta jiulize umekosea wapi kisha piga mwendo ngoja afurahiekwanza alivyo sema kuoa raha ina maana yuko yeye na mke wake . ngoa tuwasubirie siku wakija kuomba ushauri wa kupunguza unene
Utakuta jamaa hata kuchemsha chai hajui, hilo sio pishi la kulifurahia hata kidogoMkuu kwa comments za hapo juu na zitakazoendelea, leo ndiyo utajua kuwa mkeo anajua kupika ama laa!
Nakaa pembeni kushuhudia mapishi ya shemeji.
hahahhahaha kweli bora wakuotee tu ili utoe mautundu zaidiYaani nikidata mbona hata kuni ntapikia [emoji23][emoji23][emoji23]
Guys mayai mm napita nayo mbali sana. Maana kabla sijaoa nlikuwa nakula mayai tu. Nlikuwa ndo nimeanza tu kazi miaka ya 2008, mshahara nliuona mkubwa tu kama laki5.5 hivi and nlikuwa peke yangu, na room yangu moja tu ambayo ilikuwa ndani ya nyumba na nliishi na mwenye nyumba humo humo. Inshort alinichukulia kama mtoto wake. But target yake kumbe nioe mtoto wake. Nlivyooa tu nikapewa nitisi. Asubuhi. Nachemsha maji ya kuoga naweka mayai 2 owenye birika la kuchemshia maji. Nikiwa naoga yanabaki kwenye sahani yanapoa. Nikila naondoka zangu job. Saa nne na nusu vitumbua 3 yai moja na chai nzito ya maziwa, mchana wali ama ugali ,mboga ni mayai2 na youghurt maziwa, usiku wali ama ugali na mboga ni mayai ama nyama. Haya ndo yakawa maisha yangu for 3 yrs kabla sijaanza kuishi na mpenzi wangu, maana nlimpa mimba 2006 tukiwa chuo. Na baadae 2013 kufunga ndoa. Outcome nliota maziwa yakawa makubwa kama ya baunsa, uuuwi nikaambiwa sababu ya mayai, but nlikuwa nakula ya kienyeji, pia nikanenepa sana na mwili ukawa na cholestrol nyingi.nikachukia mayai totally huwa nayala marachache sana
Na kuongeza nguvu za kiume. Maana atakua team kimoja chali soon
sawa sawa ngoja maana mi kuna mzee alikuwa anafurahia maisha ya mafuta na mapochopocho saizi anaugua kisukari hapa namuangallia tuUkitanguliza matatizo huko mbele huwezi furahia ndoa, wewe pale upatapo furaha furahia tu ikija shida lia kung'unta jiulize umekosea wapi kisha piga mwendo ngoja afurahie
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tumbo kufunika niajee soon tuta muita mzee
![]()