Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
HahahahahUlijambaaa sana maana mayai na mafuta unatengenezaa bomu la nyukliaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahUlijambaaa sana maana mayai na mafuta unatengenezaa bomu la nyukliaaa
Siyo mchezo mchezoooHahahahah
Kuna wanawake hawako serious mitamboni. Kidume ukijua kupika huwezi kula vitu vya hovyo hovyo ndio shida inapoanziaga hapo.Siyo mchezo mchezooo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna wanawake hawako serious mitamboni. Kidume ukijua kupika huwezi kula vitu vya hovyo hovyo ndio shida inapoanziaga hapo.
Sasa mbona sioni uhusiano kati ya utamuacha wa ndoa na mchuzi mayai ma4
mkee wa wapi huyo ?? mafuta yamejaa Mzee baba [emoji23] [emoji16]
[emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23]Sio kwa futa hilo chief.
dada had kaka ataogopa kushare nasi kitu kizur siku ingineKupika ni kipaji shoga. Sababu sio kwa futa hilo jamaani. Khaaa.
Na hiyo nyama huo muonekano. Sijui ndio utumbo huooo?
Hahhaaa. Mdogo wangu kuna Mapishi bwana sasa kwa huo mchuzi lazima tumwambie ili naye apate kumwambia Wifi apunguze.dada had kaka ataogopa kushare nasi kitu kizur siku ingine
hahha mi simoo lakini msalimie mdogo wako maan kapotea sanaHahhaaa. Mdogo wangu kuna Mapishi bwana sasa kwa huo mchuzi lazima tumwambie ili naye apate kumwambia Wifi apunguze.
Na kupika kwataka utulivu hapo ndio upishi unaonekana sasa kama akipika huku anachat basi haya ayategemee tu kwa kweli. Hahahaaa.
Kaona roast limejaa mifuta akaona mapishi ndo haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23]
Na uwe karibu na choo! Maana hilo jifuta hatari sana![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Chakula kama hicho ukimalizaa kula jiandae kunywa maji lita 5
Kabisaaa lazima uendesheee tena inakuwa alfajir ya saa kumi na mojaaaaNa uwe karibu na choo! Maana hilo jifuta hatari sana!
kàamua kujipoteza khaswaa tena mpe hai na mwifwa