Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa. Sawa mdogo wangu usijali kabisaaaa.tukutane nyumban mambo yetu hayajaisha nitakuja baadae
haha nimemuona ujue kapita kimy kimya halaf nakusalimia mdogo wangu[emoji113] [emoji113] [emoji113]Hahahaa. Sawa mdogo wangu usijali kabisaaaa.
Nimekuja sasa yuko wapi huyo ndugu?
vip mdog wangu sikuoni mzima lknNimekuja sasa yuko wapi huyo ndugu?
itakuwa athari ya mayai hayo, si anakwamwbia aliota maziwaMkuu umetumia neno UUWII hapo au nimesoma vibaya??
Ewaaaa. Hii ndio raha ya wito yaani fasta umeibuka. [emoji122] [emoji122] [emoji122]Nimekuja sasa yuko wapi huyo ndugu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]itakuwa athari ya mayai hayo, si anakwamwbia aliota maziwa
ameshajua mkewe bado sana ktk maipishiMkuu kwa comments za hapo juu na zitakazoendelea, leo ndiyo utajua kuwa mkeo anajua kupika ama laa!
Nakaa pembeni kushuhudia mapishi ya shemeji.
Hahahaha hio kibokoKabisaaa lazima uendesheee tena inakuwa alfajir ya saa kumi na mojaaaa
Naijuaaa hiyooooHahahaha hio kiboko
Mimi nipo tu na nimzima dada hofu juu yakovip mdog wangu sikuoni mzima lkn
Hahah!! Nimemuona ila kila nikimuona nafurahi sana [emoji23]Ewaaaa. Hii ndio raha ya wito yaani fasta umeibuka. [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Yupo hapa hapa.
Kitambi, kisukari, saratani, obesity vinakuhusu, kuishiwa nguvu za kiume, kuna mwanaume mwingine atatinda mkeo, na wewe ukifa ataolewa tena
usipotee sana basi hata home huonekani siku hiz nin tatizMimi nipo tu na nimzima dada hofu juu yako
unafurahishwa na nin mdog wanguHahah!! Nimemuona ila kila nikimuona nafurahi sana [emoji23]