Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazma uwe na metronidazole/fragil pembeni bila hivyo unakata ringi.Naijuaaa hiyoooo
Hahaaa. Hukumpa like. [emoji85] [emoji85]Yaani huyu ndugu kuna mtaa nilimkuta sikuamini ikabidi nikimbie haraka kuondoka
[emoji15] [emoji15] mtaa gani mdogo wangu uwii mtu mzima mie yamenikuta dad hajarYaani huyu ndugu kuna mtaa nilimkuta sikuamini ikabidi nikimbie haraka kuondoka
Lazima niache alama ajue kua nilimuona [emoji16]Hahaaa. Hukumpa like. [emoji85] [emoji85]
Aah! Sasa jamani adi nianze kuutaja huo mtaa tena?[emoji15] [emoji15] mtaa gani mdogo wangu uwii mtu mzima mie yamenikuta dad hajar
wapi dada mbon sijajiona
Ndoa bado changa hiyo rafiki huwa ni raha sana tena ya aina yake subili miezi kadhaa ipite,uje hapa tena utupe mrejesho ndugu
sijauona huo mtaa mdog wanguLazima niache alama ajue kua nilimuona [emoji16]
Aah! Sasa jamani adi nianze kuutaja huo mtaa tena?
Ila usijari ndugu yangu ni mtaa safi kwa kureflesh siunajua tena
Unge ni CC na mie nimuone.Lazima niache alama ajue kua nilimuona [emoji16]
Aah! Sasa jamani adi nianze kuutaja huo mtaa tena?
Ila usijari ndugu yangu ni mtaa safi kwa kureflesh siunajua tena
Hahaaa. Naja nikwambie ni wapi.wapi dada mbon sijajiona
dada mbon hivyoUnge ni CC na mie nimuone.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Aisee embu mfate huko kilingeni ukamdokeze
Usijari Hajar atakuambiasijauona huo mtaa mdog wangu
Labda ni kimbaombao ananenepeshwa bila kupendaSio kwa futa hilo chief.
uje leo nyumban tuongee kwa kina halafuAisee embu mfate huko kilingeni ukamdokeze
kaniambia tyr itakuwa vilihamishwa tu mdog wangu mie sipo huko mdog wanguUsijari Hajar atakuambia