Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kupika ni sanaa. Haina formular .Hahahaaa. Ila kupika kitu kingine bana Miss.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupika ni sanaa. Haina formular .Hahahaaa. Ila kupika kitu kingine bana Miss.
Kabisaaaaa.Kupika ni sanaa. Haina formular .
hahh nilistuka kwan daa hajira na davet huwa mnapitiaga wap lkn mbon mim sipo hukoHahahaaa. Ila Davet una maneno khaaa.
wacha kabisa nilistuka kabisaHizo code zinamtisha Ukhty.
Hiki si kifo kabisa hiki[emoji15]
Nafanya sana mazoezi mzeeWenzio tulianza hivyo hivyo tukatoka mavitambi makubwa sura za duara kama marehemu Mpakanjia. Ukiingia sehemu unaonekana umenawiri kwa misosi isiyo na mpangilio kutoka kwa wake zetu. Kwa sasa tunakula dona tu na mboga za majani za kuchemshwa bila kuungwa sato akipikwa unakula chukuchuku bila kuungwa, afya zimeshaharibika tunapambana na hali zetu. Gym imegeuka kama ni sehemu yako ya kila siku na ukipiga bao moja pressure inapanda huwezi rudia la pili.
Kula mayai na mimafuta hiyo fainali uzeeni. Uzee ni rutuba ya maradhi sumu zote unazokula leo zitakuja kukutokea puani uzeeni.
Angalia avatar yangu ndiko unakoelekea huko
...KLMY!Hapana nadhani tunafanana majina tu
Hahahaa. Dada yako mie Mtanga ujue hivyo upishi ndio pake mdogo wangu.
Ukija wala usiyategemee hayo. Utakula vitamu ndugu yangu mpaka utajilamba. Teh teh.
Mkuu majibu kayapata hapahapa 100% wamekataa pishi la shemejiameshajua mkewe bado sana ktk maipishi
kwani ni chakula gani hiko...mm mbona sijaelewa!Duuh ndo makorokocho gani hayo jamani? Pole mkuu mkeo kupika ana F yaaani zeeerrrooooo
Kwanza raha ya mayai uyagonge, ukoroge then ndo utie kwenye nyanya hadi yakauke vizuurii!
Sasa hapo unakulaje yai limesimama ivo? Mimi sijaelewa kwa kweli[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hahahaaa. Amtafutie shule za kujifunza kupika tu hapo sababu ameshachelewa huyo.Hahahahahahaha, ahsante sister langu la nguvu haya mpe ushauri Mrs Duke Tachez
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu umetumia neno UUWII hapo au nimesoma vibaya??
Afu jina lani ni jini "kisiranii".Mkuu umetumia neno UUWII hapo au nimesoma vibaya??
Kuna watu sijui mna matatizo gani. Naamini utakufa siku sio zako. Jinsia yangu wewe inakuhusu nini. Na ukijua jinsia yangu utafaidika vipi. Wewe soma comment zangu na haka hazikuvutii lala mbele.Afu jina lani ni jini "kisiranii".
Naamini huyu mtu anatumia jinsia isiyo yake humu ndani ila uandishi umemuumbua
Mjini humu wengi hawajui kupika wanapikiwa na mabeki 3mtoa mada, yaan hapo ndo umeona,,
uwe unatembea kwa rafiki zako unakula misosi ya shemezi zako ili uone utofauti wa misosi