DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Huyo umemuacha hatua 1000 nyuma.Sio kwa futa hilo chief.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo umemuacha hatua 1000 nyuma.Sio kwa futa hilo chief.
Nyingi kwa kweliHuyo umemuacha hatua 1000 nyuma.
Halafu ndo wa kwanza ku diss mbinu ya shake well before use nyie? Aisee hapana...Lazma nikukague hata 2 years under one roof ili nione uwezekano wa wewe kuwa wife material anaeliweza jukwaa ama tia maji tia maji![emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] chakushangaza wakisha waoa ndiyo wanaanza kulia lia mke wangu hajui kupika
Aisee na mimi pls, naomba niwe kwenye trial period hata kwa miezi miwili tu!Pole sana. Hakuna kitu nakipenda kama kumpikia mwanaume wangu. Kama nakuchukulia poa poa ndo nakuagiza take away ila ukinigusa kumoyo utakula mapishi yote mazuri nayoyajua
Kupika ni kipaji shoga. Sababu sio kwa futa hilo jamaani. Khaaa.Hajui kupika ebu angalia mifuta hiyo subirini muumwe blood pressure............. Eti unajitutumuaaa mwenyew kupost jf eti mkeo sijui nni kwanza hizo nyanya zimeungua msiiiiiieeeew
Huo utumbo ila nyanya ameunguzaKupika ni kipaji shoga. Sababu sio kwa futa hilo jamaani. Khaaa.
Na hiyo nyama huo muonekano. Sijui ndio utumbo huooo?
Hahahaaaaa. Mwenyewe anasema kuoa raha lol. Ndio huyu akifutuka anasema ndoa nzuri kumbe ni mifuta anayoitia tumboni kila kukicha. DuuhHuo utumbo ila nyanya ameunguza
.....me naangalia post ya mtoa Mada naishia kusema hiiiiiiiiiiiiii
Kwa hayo mafuta au?
Itakuwa, hivyo kasahau kuchanganya samaki na kisamvu katika hiyo mboga [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mie sishangai kama mkeo ni mnaigeria
Binafsi napenda mayai ya kuchemshwa kama hivyo halafu yanaungwa mchuzi.Duuh ndo makorokocho gani hayo jamani? Pole mkuu mkeo kupika ana F yaaani zeeerrrooooo
Kwanza raha ya mayai uyagonge, ukoroge then ndo utie kwenye nyanya hadi yakauke vizuurii!
Sasa hapo unakulaje yai limesimama ivo? Mimi sijaelewa kwa kweli[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mbona amejaza sana mafuta mkuu