Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani

Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani

Mayai yanasomeka, tena kwa idadi ni ma5.
Hivyo vikorombweso vingine vinavyoonekana kama masega ya asali na asali iliyochujwa ni nini? Tuseme ni utumbo na mafuta ya kumwaga?
Sa'usisifie sana mapishi 'kabila' hiyo ni sumu ndg.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] chakushangaza wakisha waoa ndiyo wanaanza kulia lia mke wangu hajui kupika
Halafu ndo wa kwanza ku diss mbinu ya shake well before use nyie? Aisee hapana...Lazma nikukague hata 2 years under one roof ili nione uwezekano wa wewe kuwa wife material anaeliweza jukwaa ama tia maji tia maji!
 
Pole sana. Hakuna kitu nakipenda kama kumpikia mwanaume wangu. Kama nakuchukulia poa poa ndo nakuagiza take away ila ukinigusa kumoyo utakula mapishi yote mazuri nayoyajua
Aisee na mimi pls, naomba niwe kwenye trial period hata kwa miezi miwili tu!
 
Hajui kupika ebu angalia mifuta hiyo subirini muumwe blood pressure............. Eti unajitutumuaaa mwenyew kupost jf eti mkeo sijui nni kwanza hizo nyanya zimeungua msiiiiiieeeew
 
Hajui kupika ebu angalia mifuta hiyo subirini muumwe blood pressure............. Eti unajitutumuaaa mwenyew kupost jf eti mkeo sijui nni kwanza hizo nyanya zimeungua msiiiiiieeeew
Kupika ni kipaji shoga. Sababu sio kwa futa hilo jamaani. Khaaa.

Na hiyo nyama huo muonekano. Sijui ndio utumbo huooo?
 
Kupika ni kipaji shoga. Sababu sio kwa futa hilo jamaani. Khaaa.

Na hiyo nyama huo muonekano. Sijui ndio utumbo huooo?
Huo utumbo ila nyanya ameunguza
.....me naangalia post ya mtoa Mada naishia kusema hiiiiiiiiiiiiii
 
I can cook shit way more better than that.
Poor wife...poor pops!

Kwahio thats the best shemela can do eeh lmao!
 
Duuh ndo makorokocho gani hayo jamani? Pole mkuu mkeo kupika ana F yaaani zeeerrrooooo

Kwanza raha ya mayai uyagonge, ukoroge then ndo utie kwenye nyanya hadi yakauke vizuurii!

Sasa hapo unakulaje yai limesimama ivo? Mimi sijaelewa kwa kweli[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Binafsi napenda mayai ya kuchemshwa kama hivyo halafu yanaungwa mchuzi.
 
Ulijambaaa sana maana mayai na mafuta unatengenezaa bomu la nyukliaaa
 
Back
Top Bottom