Mbona Hana shida baba wa watuAcha kupuuza mambo wewe nilitaka kumpiga pic siku muona tena make kama alinihisi labda nimemuhisi sio kawaida badae kugeuka kutazama ili nipige pic kwa mbele yake sikumuona tenaView attachment 2351798View attachment 2351799
Tuwaachie wakina zumaridi[emoji16][emoji16][emoji16]Na kuona hayo mauzauza inabidi uwe na uwezo wa kuona mambo ya kiroho [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
jicho lake ni kama reptiliaAcha kupuuza mambo wewe nilitaka kumpiga pic siku muona tena make kama alinihisi labda nimemuhisi sio kawaida badae kugeuka kutazama ili nipige pic kwa mbele yake sikumuona tenaView attachment 2351798View attachment 2351799
Kweli duniani kuna maajabu.Acha kupuuza mambo wewe nilitaka kumpiga pic siku muona tena make kama alinihisi labda nimemuhisi sio kawaida badae kugeuka kutazama ili nipige pic kwa mbele yake sikumuona tenaView attachment 2351798View attachment 2351799
Nasota kitu gani?Pole mkuu mkubwa lakini unasota
nakazia hapahapaUlishawahi kumwangalia mzungu vizuri kwa ukaribu? Hao jamaa wanatisha. Tena huyu mzee na mpua wake mrefu vijicho vidogooo. Sioni lo lote la ajabu.
Labda kama mleta uzi alivyosema kuwa yeye ana kipaji cha kuona vitu kiroho labda ni mtu wa maombi sana au mlokole...Physically huyo ni binadamu wa kawaida tu sioni cha kushangaza hapo!
kwa hiyo mkuu unamanisha ninachikiona hapa kwenye picha ni tofauti na ulichokiona?mi binafsi naona ana ule utofauti wa kawaida na inawezekana anajitenga kutokana na hali yakeSio kama mimi labda ni kama wewe mkuu wazungu nimeishi nao sana nafanya nao kazi 24/7 nasoma nao malika yote nawajua vyema kuna wazungu wengi sana hapa Palace kwanini niseme huyo mmoja? Nilie weka pic zake? Wanadamu wa ki bongo uswahili sana
Punguza ugoloLeo nilivokua msibani kwa bibi wa Wingerezani nimemuona binadamu asie wa kawaida nikajaribu kumpiga pic lakini kama akahisi nitaweka pic zake kama 1 mtaona kwanza macho yake hayako kama binadamu make huoni jicho Lake giza na sikio shape yake sio kawaida na pua pia nikahisi ndio wale
Kunywa balimi angalau ka-kreti kamoja tu.Sasa weye umekunywa bia sitini!π€π€π€π€Leo nilivokua msibani kwa bibi wa Wingerezani nimemuona binadamu asie wa kawaida nikajaribu kumpiga pic lakini kama akahisi nitaweka pic zake kama 1 mtaona kwanza macho yake hayako kama binadamu make huoni jicho Lake giza na sikio shape yake sio kawaida na pua pia nikahisi ndio wale
Mswada wa kuhalalisha bangi upitiwe tena....
Unaweza kuwa sahihi marehemu sheikh Yahaya Hussein aliwahi kumuelezea Queen Elizabeth kuwa ni kiongozi mkuu wa majini hapa duniani!!!!Leo nilivokua msibani kwa bibi wa Wingerezani nimemuona binadamu asie wa kawaida nikajaribu kumpiga pic lakini kama akahisi nitaweka pic zake kama 1 mtaona kwanza macho yake hayako kama binadamu make huoni jicho Lake giza na sikio shape yake sio kawaida na pua pia nikahisi ndio wale
Acha shisha mkuu.Sawa ila wewe unamacho ya nyama utachelewa sana hapa duniani
Alien mara nyingi hawaoti nywele huyu ana minywele mingi hiviAcha kupuuza mambo wewe nilitaka kumpiga pic siku muona tena make kama alinihisi labda nimemuhisi sio kawaida badae kugeuka kutazama ili nipige pic kwa mbele yake sikumuona tenaView attachment 2351798View attachment 2351799