Leo msibani nimemuona alien

Leo msibani nimemuona alien

Situmii bangi mkuu angalia kwenye comment nimeziweka pic 2 nilizobahatika kumpiga kwa upande
Kama hutumii basi chunguza unao ishi nao wanatumia asubuhi!! sasa weye unavuta harufu zao bila kujua! kwa sababu huijui basi kale kaharufu kanakupata sana!
 
Back
Top Bottom