Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Invigilator

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
3,203
Reaction score
5,997
Salamu wakuu,

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.

Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu, nitaleta mrejesho.

Wasalaam.

 
Saa sita tunasubiri mrejesho.
 
Zamani waafrika walichukuliwa kwa nguvu kwenda utumwani siku hizi waafrika wanagombea wenyewe huku wakililia kwenda utumwani. Kama walivyokufa baharini enzi ya slave trade ndivyo wanavyokufa hata leo baharini pindi boti za wazamiaji zinapozamishwa majini.
 
Ujabeba mafuta ya upako mfukoni Ili usinyimwe viza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…