Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Visa za shule sio ngumu sana so long as umejipanga.

Uwe unajua chuo unachoenda na mahala kilipo. Sema unaenda kukaa campus au Karibu na chuo, hopefully bank statement yako imeshiba.

Hakikisha huwapi sababu ya wao kudhani utazamia, wape malengo yako kwamba utarudi kula vumbi bongo mara shule yako ikiisha. Kimsingi visa interview ni kuwatoa hofu pasi na shaka kwamba utarudi bongo.

Unaweza ulizwa maswali ya hapa na pale kama kwanini hiyo course, umekijuaje hicho chuo, utafikia airport gani, ni kipi unachokijua kuhusu chuo kilipo nk. Ni vyema ukajipanga Incase yakitokea.

Kama una educational background nzuri, i20 na BS inasoma fresh utapata tu hata wakikunyima now omba tena utapewa.

Unakuja for school purposes so lazima interview yako iwe in English usijidanganye kuomba wakufanyie kwa kiswahili hawakubali. Good luck
 
Salamu wakuu,

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani. Hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi.

Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.

Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu. Nitaleta mrejesho.

Wasalaam.
Ok
 
Visa za shule sio ngumu sana so long as umejipanga.

Uwe unajua chuo unachoenda na mahala kilipo. Sema unaenda kukaa campus au Karibu na chuo, hopefully bank statement yako imeshiba.

Hakikisha huwapi sababu ya wao kudhani utazamia, wape malengo yako kwamba utarudi kula vumbi bongo mara shule yako ikiisha. Kimsingi visa interview ni kuwatoa hofu pasi na shaka kwamba utarudi bongo.

Unaweza ulizwa maswali ya hapa na pale kama kwanini hiyo course, umekijuaje hicho chuo, utafikia airport gani, ni kipi unachokijua kuhusu chuo kilipo nk. Ni vyema ukajipanga Incase yakitokea.

Kama una educational background nzuri, i20 na BS inasoma fresh utapata tu hata wakikunyima now omba tena utapewa.

Unakuja for school purposes so lazima interview yako iwe in English usijidanganye kuomba wakufanyie kwa kiswahili hawakubali. Good luck
Thanks much mkuu, wewe ni miongoni mwa watu bora sana, nashukuru kwa ushauri wako mzuri, nitaufanyia kazi.

Kuna baadhi ya watu humu, wapo ili kudharau kila kitu kinachoandikwa, unaweza ukashangaa kwangu mimi kuandika neno MNIOMBEE ndio imekuwa main ajenda. As if ni neno geni, baya, lisilo sitahiki kusikika kwenye umma.

Anyway sishangai, maana akili za wengi wetu nazijua, wivu, ujinga , uchawi na husuda.

After all nashukuru sana, umenijenga, Mungu akubariki.
 
Salamu wakuu,

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani. Hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi.

Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.

Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu. Nitaleta mrejesho.

Wasalaam.


Utapata mradi usiwe na makosa ya kupokonya uhai wa mtu.
 
mji gani US kuna miji Zaidi ya mia moja na majimbo hamsini kila jimbo lina miji mikubwa Zaidi ya mitano
Mkuu watu kama hao sio wa kuhangaika nao, kaa kimya tu. Unamuacha mtu anachukua point basi maisha yanaendalea.
 
Thanks much mkuu, wewe ni miongoni mwa watu bora sana, nashukuru kwa ushauri wako mzuri, nitaufanyia kazi.

Kuna baadhi ya watu humu, wapo ili kudharau kila kitu kinachoandikwa, unaweza ukashangaa kuandika neno MNIOMBEE ndio imekuwa main ajenda.

Anyway sishangai maana akili za wengi wetu nazijua, wivu, ujinga , uchawi na husuda.

After all nashukuru sana, umenijenga, Mungu akubariki.

Ndo JF mkuu take it easy.

I wonder unaingia chuo fall au spring maana fall shule nyingi zinafungua this week na zingine very soon. Spring ni January wanaweza kusema unawahi sana.

Naujua mziki wao hao jamaa maana niliucheza miaka hiyo mambo za rudi-go na tukatusua.

Ungesema mapema ningekushauri uende kumuona education advisor wao pale embassy hana la maana la kukwambia na sio lazima ila inakuongezea credit kwa consulars wakati wa interview. Good luck
 
Back
Top Bottom