Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Injili haihuburiwi kwa nguvu hivyo ndugu.
Weee! ndo hujui!! pepo la kukana injili ya Mungu siyo la kuchekea Sister!!…….acha utani bana! yaani una bembeleza pepo???......…….ukiona una hali ya ivo! jua weye ni toto la pepo!...jikemee!

kiranga, ni pepo aliyorithi kwa Babu yake ndo yana msumbua, kuna team ya kanisani nimeiunda mie humu humu tunamsaka kumpiga na Neno mpaka aokoke!

Mtu halisi ni ngumu kusema Mungu hayupo tena hadharani hivi!...….ki-Biblia wanasemaga myoyoni mwao tu! si unaona kachomwa na Moto wa Roho Mtakatifu kakimbilIa Baharini..anasingizia Ignore List!....

niligundua Mzee kiranga !! ana Avatar nyingi, akifunga moja anafungua nyengine km Kumi hivi, zina unga mkono hoja zake ili ajionyeshe ni popular, hili bandiko analiona na anaumia sana..

Tulisha gundua hako kamchezo ka gizani anako !.... tulimkamata tit for tat! bila ye yeye kujua ….sasa tumemjaribu kwa njia nyingi tofauti! tofauti! kajaa ndii!...dawa yake ipo ila usimwambie muache!
 
Kiranga Cha ngeda huwa Hana Tabu Kuna watu huwa mnapenda kumchokoza.

Heshimu mawazo na misimamo yake.

Peace and love[emoji3577]
Ayaaa!!! hii pia? ivi Mawazo yanapigwa Rungu Mazee??…..Mawazo yanajibiwa na Mawazo Mengine yaliyo Bora! siyo kukimbilia ''ignore List'' huo ni ushamba wa kizamani mnoo!

Jukwaani JF ukubali yote!.... km kina Nyarusare, ollachuga, sijui exovert, Zitto jr, nk Sasa km unaogopa/pata taabu/Shida/Kimuyemuye/kukimbilia ignore list/kuharisha tena mtu humjui/humuoni!

But unamkimbia, unamuogopa jinsi alivo na wazo Bora! kwa nini uko kwa mjadala ??...Uliyataka lazima urudi hapa ujibu hoja….. janja yako tunaijua wooote?...... kiranga rudi hapa shika Masikio! acha utoro!

Je Watu wa nyumbani mwako Mkeo/watoto/ndugu/Rafiki/wafanyakazi wenzio unao waona kila uchao inakuwaje?? ... Wewe

una tatizo la Msingi! unatakiwa utibiwe kabla hazi jaja siku mbaya utakazo sema ''mie sina heri ktk hilo!! sema tukusaidie!

House girl unamuajili! lkn unamuogopa,...…. ni ugonjwa wa akili!(U'r Mentally sick) ndo type ya huyu kiranga, hoja unazianzisha lkn anazikimbiaga/ogopa!...unajificha nyuma ya avatar zako nyengine!

Unajiona Bonge la mjanja . weye ni km paka shume anaye jificha nyuma ya karanga ...ukidhania huonekani! kuuumbe! unakoamkia ndo sie tulisha lalia kitambo…..Be a Man!
 
Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
Duuuh
 
Aisee umenena kweli kabisa! Watu wanajipeleka utumwani wenyewe! Watu kule wamechanganyikiwa hadi wanajilipua risasi yeye eti anamuomba Mungu kwenda huko! Ajiulize kwanza nani alienda Marekani au Ulaya akarudi tajiri! Wanarudi wamechakaa hadi wamechanganyikiwa! Unadhani kazi ya kuzoa mavi kule ndiyo itakufanya uwe tajiri, subutuu! Huko anaenda Matekani na siyo Marekani! Marekani kunawafaa Wamarekani wenyewe bwana, siyo akina Mchafukoga!
We Baki huko bariadi kwenu inakuuma Nini mtu kwenda USA.
 
Yaani kuna jamaa alianza kuniambia mambo ambayo hadi sasa hivi najiuliza kama hiyo roho anayo mtu anayekujua vizuri anakuua kabisa.

Nilichojifunza tu ni kuwa sitakuwa naweka masuala binafsi mtandaoni, ni kukaribisha roho za kishetani tu maishani.

Niliweka ili tu niweze kupata usaidizi na ushauri kutoka kwa wajuzi wa mambo, ili kupata insight ya kupambana,ila matokeo yake mtu anakuandikia.

  • UNAENDA UTUMWANI UNAONA SIFA.
  • UTAKUFA NJAA HUKO
  • UTARUDI NA MAKOBAZI HUTAFANIKIWA
  • UTARUDI KAMA ULIVYOKWENDA.
  • UNATUANDIKIA MAREKANI UNADHANI NI MBINGUNI.
  • UNATAKA SIFA, NK.
  • CHUKUA MIFAGIO YA KUZOLEA MAVI YA WAZUNGU.

Ina discourage sana, anyway tuishi.
[emoji23][emoji38][emoji38][emoji13][emoji13] hao ndo watanzania halisi

Hahaha

Mkuu umekremisha matusi daah [emoji38][emoji13][emoji13]
 
Daaa!! yaani tangu story za kulipuliwa kwa ubalozi ulikuwa na akili ya kusepa nchini ??? mpaka leo, Mkapa hana habari kuwa anafaa , na kikwete hafikirii kugombea kifupi hawayajui madaraka?? basi utakuwa Babu sana ........shikamoo Babu.
asa ulipoenda huko ulikuwa una lala na kula wapi Mkuu?
[emoji23][emoji38][emoji38][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Na watu wa viza wa embassy lazima wakulazimishe waone umekata ticket, wakati hata bado hawajafanya maamuzi ya kukupa viza, maana walivyo Wajinga wanakulazimisha kukata ticket alafu kwenye viza wanakupa refusal tena!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ticket sio lazima mzee tena hushauriwi kukata ticket before visa approval
 
Back
Top Bottom