Pichukodada
JF-Expert Member
- Oct 14, 2020
- 480
- 348
Weee! ndo hujui!! pepo la kukana injili ya Mungu siyo la kuchekea Sister!!…….acha utani bana! yaani una bembeleza pepo???......…….ukiona una hali ya ivo! jua weye ni toto la pepo!...jikemee!Injili haihuburiwi kwa nguvu hivyo ndugu.
kiranga, ni pepo aliyorithi kwa Babu yake ndo yana msumbua, kuna team ya kanisani nimeiunda mie humu humu tunamsaka kumpiga na Neno mpaka aokoke!
Mtu halisi ni ngumu kusema Mungu hayupo tena hadharani hivi!...….ki-Biblia wanasemaga myoyoni mwao tu! si unaona kachomwa na Moto wa Roho Mtakatifu kakimbilIa Baharini..anasingizia Ignore List!....
niligundua Mzee kiranga !! ana Avatar nyingi, akifunga moja anafungua nyengine km Kumi hivi, zina unga mkono hoja zake ili ajionyeshe ni popular, hili bandiko analiona na anaumia sana..
Tulisha gundua hako kamchezo ka gizani anako !.... tulimkamata tit for tat! bila ye yeye kujua ….sasa tumemjaribu kwa njia nyingi tofauti! tofauti! kajaa ndii!...dawa yake ipo ila usimwambie muache!