Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Mada hapa ni mwana kapata viza
Na mtu akipata viza huwa ni shwangweee mzee
Hebu tumpongeze aliyepata viza
Maana ukishapata viza huwa ni sawa na ku "fly high"

Ova
Haya! hongeraaaa mpata visa!!!! ….lkn bado nina huyo mpinga kristo sababu kuna kitu inatakiwa akirudisha haraka kanisani tena kwa Magoti atake asitake! asdhanie hapo alipo ni mbali kutoka hapa nilipo! tunamtaka arudi kundini!

inawezekana pia hii ni wewe huyo huyo kiranga, maana kiranga huaminiki wewe!! hizi avatar mara Mrangi, mo graphics ni za mutu mumoja, sababu zimekuja kwa fujo sana..

baada ya kutamka eti anajipoteza/niweka ignore List! vile pale awali hazikuwepo! zilikuwa wapi kabla ya kiranga kukimbia kwa kuaga eti ana jipoteza ignore List?

Ajabu eti zina ongea positive kuhusu Huyu Mutu muongo, muasi,mZANDIKI, msingiziaji wa Mungu wetu halali hata kudanganya tu weye kiranga hujui!!

ni sawa na paka anaye jificha kwenye shamba la karanga akidhani amewezaaa!!…..PC za siku hizi ni tofauti kidogo zina soma finger print tuu! ikiwa na camera ndo kabisaaa!...hata kutumia akili za kawaida!

hizi ni avatar zako za utetezi ulizo zianda weye mwenyewe!! nimekujua nitatungua moja baada ya nyingine si unaona baada ya kukwambia huu ukweli ....zimekuwa jiiiiii! ...unajishangaa kwanza...

lkn km utaendelea kukomaa na comments za positive on your side, najua tu ni kwa sababu nimekwambia ukweli kuhusu akili yako ilivo fupi!...kwa sababu wewe siyo popular kiasi hicho eti watu wakutetee kirahisi ivo!!

watanzania walio muacha jiwe afe!! leo wakutetee weye mpinga kristo??? mweee! hkn kitu kma hicho hawa wenye hizi ni wewe tuuuu!! umetusaidia kukujua!...

Kiranga Rudi hapa km weye ni dume kweli!! usikimbie hoja km Mwanamke dhaifu na kujificha nyuma ya avatar fake!...umewakimbia ke wasomi kibao humu walio kubana mbavu mpaka nyaa ikatoka!

Huyoooooo!! kamata huyoooo!!!
 
Naomba fungua uzi maalum kwa habari hizi tusiharibu uzi wa viza za US.
Kuomba kuna mawili tu!! ukubaliwe au ukataliwe, wewe njoo kwa Yesu bana!! usijitetee kizamani ivo!!...hkn kilicho haribika hapo sababu mie niko na wewe!! sasa unakimbia??

usicheze na hoja zenye uvuvio waa Mungu utaungua mazima! hutapata dawa si unaona neon limekuchoma mpaka umekimbia,, unalalama tuuu!! ooooh! yule yule!! unadhania utajificha wapi kwa Mungu wangu?

Wewe lazima uokoke sababu umesha tubu humu kuwa wewe ni Mungu!! hako kakipengele hujakaona ila nitakuonyesha siku moja, ukiingia line! halafu unakuja tia huruma hapa! za kukuchangia urudi kwenu!

Toroka tu utorokavyo lkn jua kabisaa wakt ukiwa ukimbizini kuwa Mungu wangu hadhihakiwi!..atakunyoosha ndivo alivo!
 
Mada hapa ni mwana kapata viza
Na mtu akipata viza huwa ni shwangweee mzee
Hebu tumpongeze aliyepata viza
Maana ukishapata viza huwa ni sawa na ku "fly high"

Ova
Yaani weye kiranga weye nikikumata ni fimbo za neno tuuuu!!...mpaka uokoke lazima wokovu!
 
Yaani weye kiranga weye nikikumata ni fimbo za neno tuuuu!!...mpaka uokoke lazima wokovu!

Mh! mrangi amekuwa Kiranga ?
Unakoelekea utasababisha maswali mengi sana juu ya ufaham wako.

Mbona waungwana wamesema huu uzi ulikua maalum Kwa mwenzetu anaeomba Visa ya US, Bahati amepata. Wakashauri ikiwa Kuna haja ya mijadala mingine, ianzishiwe Uzi tofauti.

Mwisho, punguza maneno, laptop yako kuwa na fingerprint au kamera haimaanishi unaweza kumjua Kila mwana JF.

Tukirudi kwenye hoja ya msingi, Invigilator hongera Kwa kupata Visa.
 
Haya! hongeraaaa mpata visa!!!! ….lkn bado nina huyo mpinga kristo sababu kuna kitu inatakiwa akirudisha haraka kanisani tena kwa Magoti atake asitake! asdhanie hapo alipo ni mbali kutoka hapa nilipo! tunamtaka arudi kundini!

inawezekana pia hii ni wewe huyo huyo kiranga, maana kiranga huaminiki wewe!! hizi avatar mara Mrangi, mo graphics ni za mutu mumoja, sababu zimekuja kwa fujo sana..

baada ya kutamka eti anajipoteza/niweka ignore List! vile pale awali hazikuwepo! zilikuwa wapi kabla ya kiranga kukimbia kwa kuaga eti ana jipoteza ignore List?

Ajabu eti zina ongea positive kuhusu Huyu Mutu muongo, muasi,mZANDIKI, msingiziaji wa Mungu wetu halali hata kudanganya tu weye kiranga hujui!!

ni sawa na paka anaye jificha kwenye shamba la karanga akidhani amewezaaa!!…..PC za siku hizi ni tofauti kidogo zina soma finger print tuu! ikiwa na camera ndo kabisaaa!...hata kutumia akili za kawaida!

hizi ni avatar zako za utetezi ulizo zianda weye mwenyewe!! nimekujua nitatungua moja baada ya nyingine si unaona baada ya kukwambia huu ukweli ....zimekuwa jiiiiii! ...unajishangaa kwanza...

lkn km utaendelea kukomaa na comments za positive on your side, najua tu ni kwa sababu nimekwambia ukweli kuhusu akili yako ilivo fupi!...kwa sababu wewe siyo popular kiasi hicho eti watu wakutetee kirahisi ivo!!

watanzania walio muacha jiwe afe!! leo wakutetee weye mpinga kristo??? mweee! hkn kitu kma hicho hawa wenye hizi ni wewe tuuuu!! umetusaidia kukujua!...

Kiranga Rudi hapa km weye ni dume kweli!! usikimbie hoja km Mwanamke dhaifu na kujificha nyuma ya avatar fake!...umewakimbia ke wasomi kibao humu walio kubana mbavu mpaka nyaa ikatoka!

Huyoooooo!! kamata huyoooo!!!

Aiseee

Kama watu wa Mungu tupo hivi, basi tuna safari ndefu ya kufika mbinguni, au tusifike kabisa, tuishie motoni.

Injili haihuburiwi kwa nguvu hivyo ndugu.

Mungu mwenyewe aliwaambia watu wake hasa wafalme kama wakitamfuta naye ataonekana, wakimwacha atawaacha.

Haya Yesu alipotuma wanafunzi wake, akawaambia wakiwapokea ingieni, ama la, kung'uteni mavumbi ya viatu vyenu, muondoke na amani yenu.

Cha msingi hapa ndugu yangu, suo kutoa povuu

Mwombee tu akutane na MUNGU kama ambavyo mimi namwombea na wengine ambao wanasema hakuna Mungu, namwambia Mungu jidhihirishe kwao watambue uwepo wako.
 
Haya! hongeraaaa mpata visa!!!! ….lkn bado nina huyo mpinga kristo sababu kuna kitu inatakiwa akirudisha haraka kanisani tena kwa Magoti atake asitake! asdhanie hapo alipo ni mbali kutoka hapa nilipo! tunamtaka arudi kundini!

inawezekana pia hii ni wewe huyo huyo kiranga, maana kiranga huaminiki wewe!! hizi avatar mara Mrangi, mo graphics ni za mutu mumoja, sababu zimekuja kwa fujo sana..

baada ya kutamka eti anajipoteza/niweka ignore List! vile pale awali hazikuwepo! zilikuwa wapi kabla ya kiranga kukimbia kwa kuaga eti ana jipoteza ignore List?

Ajabu eti zina ongea positive kuhusu Huyu Mutu muongo, muasi,mZANDIKI, msingiziaji wa Mungu wetu halali hata kudanganya tu weye kiranga hujui!!

ni sawa na paka anaye jificha kwenye shamba la karanga akidhani amewezaaa!!…..PC za siku hizi ni tofauti kidogo zina soma finger print tuu! ikiwa na camera ndo kabisaaa!...hata kutumia akili za kawaida!

hizi ni avatar zako za utetezi ulizo zianda weye mwenyewe!! nimekujua nitatungua moja baada ya nyingine si unaona baada ya kukwambia huu ukweli ....zimekuwa jiiiiii! ...unajishangaa kwanza...

lkn km utaendelea kukomaa na comments za positive on your side, najua tu ni kwa sababu nimekwambia ukweli kuhusu akili yako ilivo fupi!...kwa sababu wewe siyo popular kiasi hicho eti watu wakutetee kirahisi ivo!!

watanzania walio muacha jiwe afe!! leo wakutetee weye mpinga kristo??? mweee! hkn kitu kma hicho hawa wenye hizi ni wewe tuuuu!! umetusaidia kukujua!...

Kiranga Rudi hapa km weye ni dume kweli!! usikimbie hoja km Mwanamke dhaifu na kujificha nyuma ya avatar fake!...umewakimbia ke wasomi kibao humu walio kubana mbavu mpaka nyaa ikatoka!

Huyoooooo!! kamata huyoooo!!!
Hizi ndo genye mshindo za dini sasa. Hapa wanao hoji uwepo wa Mungu wanazidi kupata hoja. Tuliza bolibo hizo Acha kuharibu uzi wa mwenzio
 
Unarudi kulekule.

Naomba fungua uzi maalum kwa habari hizi tusiharibu uzi wa viza za US.

Sitegemei watu wanaojinadi kumjua Mungu wawe na tabia mbaya za kuharibu nyuzi za watu.
Kumbe ignore list inafanya kazi hivi ??? ngoja sasa na mie niwaweke wenye viherehere km weye!
 
Mada hapa ni mwana kapata viza
Na mtu akipata viza huwa ni shwangweee mzee
Hebu tumpongeze aliyepata viza
Maana ukishapata viza huwa ni sawa na ku "fly high"

Ova
Shukran sana Mkuu,Una roho nyeupe sana.
 
Mh! mrangi amekuwa Kiranga ?
Unakoelekea utasababisha maswali mengi sana juu ya ufaham wako.

Mbona waungwana wamesema huu uzi ulikua maalum Kwa mwenzetu anaeomba Visa ya US, Bahati amepata. Wakashauri ikiwa Kuna haja ya mijadala mingine, ianzishiwe Uzi tofauti.

Mwisho, punguza maneno, laptop yako kuwa na fingerprint au kamera haimaanishi unaweza kumjua Kila mwana JF.

Tukirudi kwenye hoja ya msingi, Invigilator hongera Kwa kupata Visa.
Shukran sana Mkuu, huyo jamaa si muungwana, Imani hailazimishwi.
 
Mh! mrangi amekuwa Kiranga ?
Unakoelekea utasababisha maswali mengi sana juu ya ufaham wako.

Mbona waungwana wamesema huu uzi ulikua maalum Kwa mwenzetu anaeomba Visa ya US, Bahati amepata. Wakashauri ikiwa Kuna haja ya mijadala mingine, ianzishiwe Uzi tofauti.

Mwisho, punguza maneno, laptop yako kuwa na fingerprint au kamera haimaanishi unaweza kumjua Kila mwana JF.

Tukirudi kwenye hoja ya msingi, Invigilator hongera Kwa kupata Visa.
Shukran sana Mkuu, huyo jamaa si muungwana, Imani hailazimishwi. Kingine anavuruga tu andiko langu, angalau tungejadili pengine lingeweza msaidia mtu mwingine.
 
Shukran sana Mkuu, huyo jamaa si muungwana, Imani hailazimishwi.

Najua kupitia huu uzi Kuna watu watajifunza vitu, watatiwa moyo, watapata pa kuanzia likija suala la Visa. Haitakua jambo la busara kuuharibu Kwa mambo mengine.

Ikumbukwe Kwa Imani Yako ulieleza tokea mwanzo kwamba unahitaji maombi pia licha ya maandalizi ukimaanisha pamoja na mipango yetu, Kuna kudra za Mungu, hiyo ndio Imani Yako.
 
Haya! hongeraaaa mpata visa!!!! ….lkn bado nina huyo mpinga kristo sababu kuna kitu inatakiwa akirudisha haraka kanisani tena kwa Magoti atake asitake! asdhanie hapo alipo ni mbali kutoka hapa nilipo! tunamtaka arudi kundini!

inawezekana pia hii ni wewe huyo huyo kiranga, maana kiranga huaminiki wewe!! hizi avatar mara Mrangi, mo graphics ni za mutu mumoja, sababu zimekuja kwa fujo sana..

baada ya kutamka eti anajipoteza/niweka ignore List! vile pale awali hazikuwepo! zilikuwa wapi kabla ya kiranga kukimbia kwa kuaga eti ana jipoteza ignore List?

Ajabu eti zina ongea positive kuhusu Huyu Mutu muongo, muasi,mZANDIKI, msingiziaji wa Mungu wetu halali hata kudanganya tu weye kiranga hujui!!

ni sawa na paka anaye jificha kwenye shamba la karanga akidhani amewezaaa!!…..PC za siku hizi ni tofauti kidogo zina soma finger print tuu! ikiwa na camera ndo kabisaaa!...hata kutumia akili za kawaida!

hizi ni avatar zako za utetezi ulizo zianda weye mwenyewe!! nimekujua nitatungua moja baada ya nyingine si unaona baada ya kukwambia huu ukweli ....zimekuwa jiiiiii! ...unajishangaa kwanza...

lkn km utaendelea kukomaa na comments za positive on your side, najua tu ni kwa sababu nimekwambia ukweli kuhusu akili yako ilivo fupi!...kwa sababu wewe siyo popular kiasi hicho eti watu wakutetee kirahisi ivo!!

watanzania walio muacha jiwe afe!! leo wakutetee weye mpinga kristo??? mweee! hkn kitu kma hicho hawa wenye hizi ni wewe tuuuu!! umetusaidia kukujua!...

Kiranga Rudi hapa km weye ni dume kweli!! usikimbie hoja km Mwanamke dhaifu na kujificha nyuma ya avatar fake!...umewakimbia ke wasomi kibao humu walio kubana mbavu mpaka nyaa ikatoka!

Huyoooooo!! kamata huyoooo!!!
Hahahaha

Mkuu mziki wa kiranga huuwezi utachemsha tu kama wengineo
Achana kabisa na huyo mtoto wa upanga

Ova
 
Mh! mrangi amekuwa Kiranga ?
Unakoelekea utasababisha maswali mengi sana juu ya ufaham wako.

Mbona waungwana wamesema huu uzi ulikua maalum Kwa mwenzetu anaeomba Visa ya US, Bahati amepata. Wakashauri ikiwa Kuna haja ya mijadala mingine, ianzishiwe Uzi tofauti.

Mwisho, punguza maneno, laptop yako kuwa na fingerprint au kamera haimaanishi unaweza kumjua Kila mwana JF.

Tukirudi kwenye hoja ya msingi, Invigilator hongera Kwa kupata Visa.
Hahaha aise

Mtumishi hapo kachemsha

Ova
 
Salamu wakuu,

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.

Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu, nitaleta mrejesho.

Wasalaam.
 
Haya! hongeraaaa mpata visa!!!! ….lkn bado nina huyo mpinga kristo sababu kuna kitu inatakiwa akirudisha haraka kanisani tena kwa Magoti atake asitake! asdhanie hapo alipo ni mbali kutoka hapa nilipo! tunamtaka arudi kundini!

inawezekana pia hii ni wewe huyo huyo kiranga, maana kiranga huaminiki wewe!! hizi avatar mara Mrangi, mo graphics ni za mutu mumoja, sababu zimekuja kwa fujo sana..

baada ya kutamka eti anajipoteza/niweka ignore List! vile pale awali hazikuwepo! zilikuwa wapi kabla ya kiranga kukimbia kwa kuaga eti ana jipoteza ignore List?

Ajabu eti zina ongea positive kuhusu Huyu Mutu muongo, muasi,mZANDIKI, msingiziaji wa Mungu wetu halali hata kudanganya tu weye kiranga hujui!!

ni sawa na paka anaye jificha kwenye shamba la karanga akidhani amewezaaa!!…..PC za siku hizi ni tofauti kidogo zina soma finger print tuu! ikiwa na camera ndo kabisaaa!...hata kutumia akili za kawaida!

hizi ni avatar zako za utetezi ulizo zianda weye mwenyewe!! nimekujua nitatungua moja baada ya nyingine si unaona baada ya kukwambia huu ukweli ....zimekuwa jiiiiii! ...unajishangaa kwanza...

lkn km utaendelea kukomaa na comments za positive on your side, najua tu ni kwa sababu nimekwambia ukweli kuhusu akili yako ilivo fupi!...kwa sababu wewe siyo popular kiasi hicho eti watu wakutetee kirahisi ivo!!

watanzania walio muacha jiwe afe!! leo wakutetee weye mpinga kristo??? mweee! hkn kitu kma hicho hawa wenye hizi ni wewe tuuuu!! umetusaidia kukujua!...

Kiranga Rudi hapa km weye ni dume kweli!! usikimbie hoja km Mwanamke dhaifu na kujificha nyuma ya avatar fake!...umewakimbia ke wasomi kibao humu walio kubana mbavu mpaka nyaa ikatoka!

Huyoooooo!! kamata huyoooo!!!
🤣🤣🤣 we jamaa khaaa!!!
 
Shukran sana Mkuu,Una roho nyeupe sana.
Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan

Ova
 
Back
Top Bottom