Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Najua kupitia huu uzi Kuna watu watajifunza vitu, watatiwa moyo, watapata pa kuanzia likija suala la Visa. Haitakua jambo la busara kuuharibu Kwa mambo mengine.

Ikumbukwe Kwa Imani Yako ulieleza tokea mwanzo kwamba unahitaji maombi pia licha ya maandalizi ukimaanisha pamoja na mipango yetu, Kuna kudra za Mungu, hiyo ndio Imani Yako.
Naam.
 
Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan

Ova
Duuh Mkuu wewe ni fighter kweli kweli.
 
Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan

Ova

Kwenye kupambana una PhD ya Hassling. Sema tumepotezana sana Kapten.
 
Kiranga Cha ngeda huwa Hana Tabu Kuna watu huwa mnapenda kumchokoza.

Heshimu mawazo na misimamo yake.

Peace and love[emoji3577]
 
Habari yako ndugu,

Pongezi kwa nakala nzuri yenye mawaidha na tija kwa jamii. Hakiki kila mmoja ni kioo cha jamii yake.

Ndugu, nikiamini katika uchakataji wako wa mambo na uwezo wako wa fikra na ubunifu, naomba ukipendezwa, nipate KURA, mawazo au mapendekezo yako juu ya nakala ihusuyo:-


Ahsante!!
Tayari mkuu ufanikiwe.
 
Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan

Ova
We ni mpambanaji hasa mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka ilipolipuliwaga ubalozi wa marekani,nakumbuka ilikuwa kama bado kama sikub3 ndy tuingie ubalozini ku apply viza.....
Mara ubalozi ndy ukalipuliwa
Nakumbuka tuli struggle sana kutafuta viza maana nakumbuka nlienda Zambia,zimbabwe, Uganda kote huko mm nlidunda wenzangu fulani nakumbuka wao ndy walipata
Nakumbuka hata walipofungua ubalozi hapa wakati huo walikuwa mitaa ya dewji napo nka apply nkala za kichwa,nakumbuka ile interview tulikuwa na sugu
Kuna watu wakitoka wana furahaa wengine ndy hivyo
Anyway ndoto za states nkazizima rasmi nkapambana nkatumbukia Poland....Poland yenyewe wkt huo ilikuwa haijaingia EU,kulikuwa kugumu kweli....argg story ndefu
Ila ukishapata viza bana ni burdan

Ova
Daaa!! yaani tangu story za kulipuliwa kwa ubalozi ulikuwa na akili ya kusepa nchini ??? mpaka leo, Mkapa hana habari kuwa anafaa , na kikwete hafikirii kugombea kifupi hawayajui madaraka?? basi utakuwa Babu sana ........shikamoo Babu.
asa ulipoenda huko ulikuwa una lala na kula wapi Mkuu?
 
Achana kabisa na huyo mtoto wa upanga
Hakuna kitu huyo! longo longo! nyiiingi!
Dah MUNGU unae muhubiri wewe ni huyu huyu ambae biblia inamtaja kweli?
Wewe kumbe hujui Biblia yangu imetaja mungu weeengi sana na walikuwa wana abudiwa ipasavyo, lkn mungu wa biblia yako Baba simjui mie hataa wala sitaki kumjua…

Sasa we Mzee Avatar zooote hiizi za nini weye kiranga??…….unjivunia ...Upanga?? bora hata ungesema mikroshini kwa wajanja!?

upanga hakuna kitu Zaidi ya harufu ya nyaa za wagonjwa taabani! wa MNH! siyo ujanja kuishi kwa wahindi pale kwanza Magabachori mabaguzi ka nini!!...hawakupendiiii...hata utambike uchi!

km ulikaa pale mie nilikaa kisutu ya zamani acha ya siku hizi……….. lazima uliitwa chori tu! sababu nawajua wale!! wale hawana maana hata kidogo kwa rangi nyeusi!! sasa kuumbe weye ni muathirika wa kubaguliwa!.....

USA ni wale wale tu! rudi nyumbani huko hapakufai umekomaa sasa!! huko tuachie sisi wadogo!! kwa sababu hata ufanyeje!! Mweupe hawawezi kuwakubali ngozi nyeusi!......
 
🤣🤣🤣 we jamaa khaaa!!!
Ndo ujue Mie nina Mungu mwenye nguvu Sanaa km zooote si unaona ulivo nikimbia kwa hoja nzito nzito!!!!…...eti sasa unakuja kivingine!! eti uonyeshe kuwa eti una support kubwa humu JF!

kuuumbe avatar zako hizo hizo!! akili za kitoto sana hizi Mkuu! japo weye ni mkubwa na mvi juu!...nikikudadavulia uandishi wako tu utaona ajabu lkn endelea niku enjoy!.? jaribu kuzipitia tena ufiche aibu yako!

uandishi uleule!! wa kivile vile!! yaani maskini hata hujui kudanyanya!! kujificha ni km nilivo wahi kukwambia kwamba hii ni akili za Paka kuijificha kwenye shamba la karanga! akidhani haonekani!

sikia weye kiranga niliwahi kukwambia kwamba Biblia '''Mpumbavu asema rohoni kuwa hakuna………..uka chukia mpaka leo! sasa una kuja na avatar tofauti…... siku ile nilikwambia ukani block avater zako zooote! ukazipoteza!

weye siyo kwamba umeni block ila unanifuatilia kwa karibu saaana! nalijua hilo!.....lkn lengo langu hapa ni wewe!!! ni uokoke tu tena kwa machozi ya damu!! utake usitake nimesema mie!

humu nimesha kupiga sara ya toba ukaingia line lkn hujui tu!!….ina maana weye umesha mkiri Bwana wa majeshi bila kujijua!! sasa huu moto lazima ukuwashe km ulivo kimbia!!

kwani unadhani ni nini hiyo iliyo kukimbiza?? ..Motoo wa Roho Mtaka tifu!...choma aaa…...itikia.. ''chomaaa!!''....au nikuonyeshee ulipotubu??
 
Hoja yake na mada tajwa vitu viwili tofauti.
Huyu ni sawa na kunguru mweusi kati ya ndege wengine popote akikamatwa ni kichapo cha neon mpaka arudi! kundini kuokoka ni lazima siyo hiari unasikia!! ukiona hiari basi ujue Mungu hakupendi!
 
Poland maisha hayakuwa marahisi
Aise sehemu ya kulala mbona panapatikana,huko nlikutana na wabongo,aise wabongo wapo sehemu nyingi duniani wametapaka
Ila nlipotoka Poland ndy nkafight kuingia Denmark
Ila kiukweli nchi nlizowahi kwenda Iran,southafrika,Namibia,zimbabwe,Brazil,Zambia,rwanda,kongo,Uganda,Kenya,komoro,Poland,Greece,UAE,Angola...ila Nchi za ndoto zangu ilikuwa USA ambayo viza nlinyimwa mara 3
Na Japan nakumbuka nliendaga ila nlipigwa bomba Airport,Japan nlip3nda Sana niendage maana wakat ule nlipata fursa huko sema ndy hivyo nkarudishwa Airport
Ndomana mpaka sahv hakuna mtu anayeweza nibabaisha na kitu maana nna exposure kubwa ya maisha,nshakutana na mengi

Ova
Nitaenda Japan kula sushi one day
 
Poland maisha hayakuwa marahisi
Aise sehemu ya kulala mbona panapatikana,huko nlikutana na wabongo,aise wabongo wapo sehemu nyingi duniani wametapaka
Ila nlipotoka Poland ndy nkafight kuingia Denmark
Ila kiukweli nchi nlizowahi kwenda Iran,southafrika,Namibia,zimbabwe,Brazil,Zambia,rwanda,kongo,Uganda,Kenya,komoro,Poland,Greece,UAE,Angola...ila Nchi za ndoto zangu ilikuwa USA ambayo viza nlinyimwa mara 3
Na Japan nakumbuka nliendaga ila nlipigwa bomba Airport,Japan nlip3nda Sana niendage maana wakat ule nlipata fursa huko sema ndy hivyo nkarudishwa Airport
Ndomana mpaka sahv hakuna mtu anayeweza nibabaisha na kitu maana nna exposure kubwa ya maisha,nshakutana na mengi

Ova
Nisikie vizuri hapa!! na haya nimeyapitia sana! Tabia za wabongo wengi wakiwa nje ya nchi!!/Mkoa

1.Hawataki kujionyesha kuwa wao ni wabongo! hata km Baba yako ana hela nyingi huku Tza!

2. Wanajua weye Ndo kwanza unatafuta! so utakuwa mzigo kwao! so wanakupotezea!

3. Ambao hawajafanikiwa huko majuu, ukiona wame kukubali! sometimes wewe unakuwa mtaji wao, wanakuchoresha kwa Mapolisi!

4, ukikutana na Mwenyeji Mbongo, anakuchangamkia sababu tu unajua Kiswahili, chunguza! ana taka kitu kwako!

5.Majuu kwa wenye uzoefu wana tabia za kuogopana mnoo!...….huko Mbali DSM tu hapo wale mliotoka nao Kijiji kimoja/mtaa mmoja kabisaa! tena huko kijijini mliwasaidia sana kimaisha

lkn mkikutana mjini DSM hawataki ukaribu! wanajifanya hawaja kuona ukiwaita watakuja na kuongea tuuu! baaasi!! hasa ukiwa mgeni unaanza tafuta Maisha! sembuse majuu??

Wabongo wema wapo lkn wachache mnooo!! na pia sometimes! hatuaminiani sana kivile! ukifanikiwa tu ukawa juu hao hao wema hapo ni chuki mbaya!...haya nimeyaishi huko!.....

Labda ujitahidi uwezavyo ukuwe kiuchumi ki vyako weye sasa ndo uwasaidie wengine utakao ona wana faa! lkn usiwe wa lawama lawama! sana! sasa ukisema eti ulienda Mjuu!

tena Mbaya Zaidi hapo kwa Ramaphosa maweeee! ukakutana na wabongo tu, ukaishi nao bila bughudha!! ina tia ukakasi kidogo au una kizizi Mazee!......hapa south ndo usiombe kukutana na wabongo wale wa Manzese!! heee!!
 
Nisikie vizuri hapa!! na haya nimeyapitia sana! Tabia za wabongo wengi wakiwa nje ya nchi!!/Mkoa

1.Hawataki kujionyesha kuwa wao ni wabongo! hata km Baba yako ana hela nyingi huku Tza!

2. Wanajua weye Ndo kwanza unatafuta! so utakuwa mzigo kwao! so wanakupotezea!

3. Ambao hawajafanikiwa huko majuu, ukiona wame kukubali! sometimes wewe unakuwa mtaji wao, wanakuchoresha kwa Mapolisi!

4, ukikutana na Mwenyeji Mbongo, anakuchangamkia sababu tu unajua Kiswahili, chunguza! ana taka kitu kwako!

5.Majuu kwa wenye uzoefu wana tabia za kuogopana mnoo!...….huko Mbali DSM tu hapo wale mliotoka nao Kijiji kimoja/mtaa mmoja kabisaa! tena huko kijijini mliwasaidia sana kimaisha

lkn mkikutana mjini DSM hawataki ukaribu! wanajifanya hawaja kuona ukiwaita watakuja na kuongea tuuu! baaasi!! hasa ukiwa mgeni unaanza tafuta Maisha! sembuse majuu??

Wabongo wema wapo lkn wachache mnooo!! na pia sometimes! hatuaminiani sana kivile! ukifanikiwa tu ukawa juu hao hao wema hapo ni chuki mbaya!...haya nimeyaishi huko!.....

Labda ujitahidi uwezavyo ukuwe kiuchumi ki vyako weye sasa ndo uwasaidie wengine utakao ona wana faa! lkn usiwe wa lawama lawama! sana! sasa ukisema eti ulienda Mjuu!

tena Mbaya Zaidi hapo kwa Ramaphosa maweeee! ukakutana na wabongo tu, ukaishi nao bila bughudha!! ina tia ukakasi kidogo au una kizizi Mazee!......hapa south ndo usiombe kukutana na wabongo wale wa Manzese!! heee!!
Kweli kabisa

Vp uko kwa rhamaphosa mzee

Ova
 
Back
Top Bottom