Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana Mkuu KirangaKaribu Marekani mkuu.
Weekend hii tuko na Kiba For Real DMV.
Wakati hukijui?? mbona Bongo mna maajabu sana!! nipe maswali mawili ya kwanza? km ni kweli!Inategemea, niliyofanya mimi nimetumia kingereza.
Ndio nimenyimwa.Umnyimwa nini!! mbona hatuoni mrejesho??
Sikijui, lakini nimefanya hivyo hivyo, na visa nikakoswa.Wakati hukijui?? mbona Bongo mna maajabu sana!! nipe maswali mawili ya kwanza? km ni kweli!
Shukran sana Mkuu.Hongera sana mkuu, maisha ni popote. Kila lenye heri huko [emoji631], piga kazi na ukumbuke kuwekeza na kuwasaidia walioko nyuma yako.
Ukakoswa au umeikosa??…...kuumbe ulienda kufanya Visa?? ukakoswa koswa!...mtafutege sehemu za kufanyia visa km kwa mkeo/mmeo kamwe siyo Balozini!...….unasikia?Sikijui, lakini nimefanya hivyo hivyo, na visa nikakoswa.
Mpinga kristo namabari one!! …...sijui yupi unampinga?? make kuna kristo wengi!!…..Usinambie hujui kristo gani unampinga ntakushangaa sana!Karibu Marekani mkuu.
Weekend hii tuko na Kiba For Real DMV.
Kristo kaingiaje hapa? Una nyege na mimi?Mpinga kristo namabari one!! …...sijui yupi unampinga?? make kuna kristo wengi!!…..Usinambie hujui kristo gani unampinga ntakushangaa sana!
Kibiblia Zaidi iko hivi ………….."Kinywa cha Mpumbavu hunena yaujazayo Moyo!""Kristo kaingiaje hapa? Una nyege na mimi?
Biblia imeingiaje hapa?.Kibiblia Zaidi iko hivi ………….."Kinywa cha Mpumbavu hunena yaujazayo Moyo!""
SawaUkakoswa au umeikosa??…...kuumbe ulienda kufanya Visa?? ukakoswa koswa!...mtafutege sehemu za kufanyia visa km kwa mkeo/mmeo kamwe siyo Balozini!...….unasikia?
Imeingia kwa kile ulicho kinena Mwenyewe! ''Umesahau mara hii?? au ulikusudia kuropoka Mkuu! any way rudia kusoma ulicho andika!!Biblia imeingiaje hapa?.
Una fikra za kijingaZamani waafrika walichukuliwa kwa nguvu kwenda utumwani siku hizi waafrika wanagombea wenyewe huku wakililia kwenda utumwani. Kama walivyokufa baharini enzi ya slave trade ndivyo wanavyokufa hata leo baharini pindi boti za wazamiaji zinapozamishwa majini.