Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Hakuna aliyefika hapa akawaza kurudi tena home labda awe kalogwa
Duh mbona wapo watu wengi tu walikuwa USA na sasa hivi wame-settle Tz? Ngoja niwaangalie vizuri labda wamelogwa!
 
Kuna mtu amepata Visa ya kuingia kusoma Spring Semester...amepata wiki hii, nimeshangaa, ni mapema mno.
 
Vyuo vingine vina foreign students wachache mno, unapata Social Security ID kirahisi.
 
Hongera sana, kila la Heri.
 
Niko Marekani miaka kadhaa..sijaona niko katika utumwa wowote ule!
 
Maliza masters tafuta kazi njoo uchukue familia yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…