Leo nafufuka na Yesu Kristo. Naomba msamaha kwa wote niliowakosea humu JF, nami nimewasamehe.

Leo nafufuka na Yesu Kristo. Naomba msamaha kwa wote niliowakosea humu JF, nami nimewasamehe.

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Huku JF wakati mwingine huwa naingia nikiwa serious na nikiwa makini kweli kweli. Lkn Kuna muda nakuwa na stress zangu tu naamua kuja kuziondolea huku.

Hivyo kuna muda natoa maoni yanayoweza kuwa yamewakwaza baadhi yenu.

Nachukuwa fursa hii kuomba radhi kwenu nyote ktk siku hii takatifu, nami nimewasamehe wote waliowahi kunikwaza.

Biblia inatuonya kwa kusema "ole wao wasababishao makwazo".

Neno OLE ktk biblia hutumika kwa jambo/tendo litakalopelekea adhabu kali sana kwa mtenda.

Mungu awabriki!
 
Anza kuongea ukweli kuhusu jinsia yako,maana haueleweki kama unaingia choo kike au Cha kiume
 
Back
Top Bottom