Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.

Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,

Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem
Yaani wewe hata hujitambui
 
Kama huna uwezo wa kumtema mazima mkeo, epuka kumfumania - MhengaMimi
 
Ili iweje??
Ukigongewa piga chini endelea na maisha mengine. Kujifanya sijui unawasha moto halafu mnaendelea huko ni kujichoresha tu. Utapiga kelele wenzako wanakusoma tu, wanakung'ong'a, then wanabadili mbinu ya kuendelea kula maisha wewe unabaki kujidanganya kuwa ulimuwashia moto.
Piga chini bila kelele, itamfanya ajishushe thamani
Exactly [emoji106]
 
Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.
Ok.

Pigia Yesu Makofi 👏👏
 
Kulalamika lalamika TU mwenzio kachepuka bila ushahidi wa lini,wapi na kachepuka na Nani Inakua Ni KAZI bure.

Ata ukiwaeleza watu unaonekana unamsingizia au wivu Wako Tu unaleta stories za SHABAN ROBERT- KUSADIKIKA.

Unatakiwa ukishamgundua unampiga PUNCH ZA FACT ZA MAANA,
Kias kwamba anajistukia na anajiona Yuko uchi wa mnyama.

Na Kama mwanaume unahisi hisu, wataendelea kuchepuka wakiamini bado huwajui, na hujui chochote khs nyendo zao.

Maana wanaona accusation zako ziko too general, unabahatisha bahatisha tu kwa wivu wao.

WANAUME WENGI TUNAFELI sana HAPA KWENYE KUVUMILIA KUKUSANYA USHAHIDI.
Evidence gathering ni kupoteza muda.

Mwanaume hagombei mwanamke. Akihisi mkewe anachepuka inatosha kufunga huo ukurasa na kuanza upya. Mke mmoja kwani kawa Mama huyo?

Mke atunzwe, apewe stahiki zake kama mke. Akihisiwa anachepuka apewe Uhuru aendelee na green pastures zake. Basi.
 
Kulalamika lalamika TU mwenzio kachepuka bila ushahidi wa lini,wapi na kachepuka na Nani Inakua Ni KAZI bure.

Ata ukiwaeleza watu unaonekana unamsingizia au wivu Wako Tu unaleta stories za SHABAN ROBERT- KUSADIKIKA.

Unatakiwa ukishamgundua unampiga PUNCH ZA FACT ZA MAANA,
Kias kwamba anajistukia na anajiona Yuko uchi wa mnyama.

Na Kama mwanaume unahisi hisu, wataendelea kuchepuka wakiamini bado huwajui, na hujui chochote khs nyendo zao.

Maana wanaona accusation zako ziko too general, unabahatisha bahatisha tu kwa wivu wao.

WANAUME WENGI TUNAFELI sana HAPA KWENYE KUVUMILIA KUKUSANYA USHAHIDI.
Mkuu kikwetu mke akishatoka bila taalifa tena usiku hilo tayali ni kosa kama kachepuka au laa atajua mwenyewe.

Kwa nyinyi wazungu najua mke anaeza lala kwa family friend na sio shida.
 
Yaan watu hatujalala mkuu tupe mrejesho [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom