Yaani wewe hata hujitambuiWakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.
Sasa nikampigia mchepuko wangu leo narudi aje anipokee leo narud zangu Dar , na nikamwambia ntafika saa kumi na moja so awe hapo,
Huku wife anajua kesho jmos ndio nakuja tena jion sana ndio ratiba nilivyompa ila plan yangu ni nikalale sehem
Exactly [emoji106]Ili iweje??
Ukigongewa piga chini endelea na maisha mengine. Kujifanya sijui unawasha moto halafu mnaendelea huko ni kujichoresha tu. Utapiga kelele wenzako wanakusoma tu, wanakung'ong'a, then wanabadili mbinu ya kuendelea kula maisha wewe unabaki kujidanganya kuwa ulimuwashia moto.
Piga chini bila kelele, itamfanya ajishushe thamani
Ok.Wakuu ipo hivi nilisafir toka jtano mkoa flan plan ya kurudi ilikuwa jmos kesho jion lakin nikaamua tu nirudi leo kwa sababu kazi nilionda kufanya imeisha toka jana jion.
Tena inawezekana analiwa 0713100% wote wachepukaji! wife wako alienda kuliwa na sio mara moja!!
Evidence gathering ni kupoteza muda.Kulalamika lalamika TU mwenzio kachepuka bila ushahidi wa lini,wapi na kachepuka na Nani Inakua Ni KAZI bure.
Ata ukiwaeleza watu unaonekana unamsingizia au wivu Wako Tu unaleta stories za SHABAN ROBERT- KUSADIKIKA.
Unatakiwa ukishamgundua unampiga PUNCH ZA FACT ZA MAANA,
Kias kwamba anajistukia na anajiona Yuko uchi wa mnyama.
Na Kama mwanaume unahisi hisu, wataendelea kuchepuka wakiamini bado huwajui, na hujui chochote khs nyendo zao.
Maana wanaona accusation zako ziko too general, unabahatisha bahatisha tu kwa wivu wao.
WANAUME WENGI TUNAFELI sana HAPA KWENYE KUVUMILIA KUKUSANYA USHAHIDI.
Uliangalia K kama haijaguswa?
Sawa ila anae naswa afanyweje?Hakuna ushindani hapo.
Mkuu kikwetu mke akishatoka bila taalifa tena usiku hilo tayali ni kosa kama kachepuka au laa atajua mwenyewe.Kulalamika lalamika TU mwenzio kachepuka bila ushahidi wa lini,wapi na kachepuka na Nani Inakua Ni KAZI bure.
Ata ukiwaeleza watu unaonekana unamsingizia au wivu Wako Tu unaleta stories za SHABAN ROBERT- KUSADIKIKA.
Unatakiwa ukishamgundua unampiga PUNCH ZA FACT ZA MAANA,
Kias kwamba anajistukia na anajiona Yuko uchi wa mnyama.
Na Kama mwanaume unahisi hisu, wataendelea kuchepuka wakiamini bado huwajui, na hujui chochote khs nyendo zao.
Maana wanaona accusation zako ziko too general, unabahatisha bahatisha tu kwa wivu wao.
WANAUME WENGI TUNAFELI sana HAPA KWENYE KUVUMILIA KUKUSANYA USHAHIDI.
Anagonga wakati hakuacha mtu ndani?
Mrejesho uko wapiHapana nilishasema kwny mrejesho
Jaman kwa hiyo tumefikia wapi?tumeamuaje yaan
mrejesho uko wapi
Jamaa keshafeli,
na sidhani Kama ataweza kumkamata Tena.
Kushindwa kumfahamu anayechepuka Naye Ni BIGGEST MISTAKE ever
Check kuna Uzi wa mrejesho mdada nyinyi sio watu wa kuwaamini kabisa
Kichekesho kweli kweli, atulie tu dawa imuingie.Afu anataka atoe na talaka.
Kichekesho.
Wanamnyevua mtoa mada ha ha ....'Waduduu, Wadogo Wadogo, Wananyevua nyevua!![emoji16][emoji16]