Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda

Hujasababisha chochote acha ufala wewe,mwanaume kuwa na mwanwmke zaidi ya moja ilikuwepo toka kipindi cha yesu.

Fukuza huyo Mwanamke,huna Mkwe hapo.
Mkuu hata ukahaba ulianza toka kipindi cha Yesu na aliwasamehe unataka kusemaje labda? Kwamba kama dhambi ilianza toka kipindi cha Yesu ndiyo inakuwa siyo dhambi au?
 
Hii nakiri kosa mkuu naeza kuwa nimesababisha

Kosa lako, fix your mess. Hii ndoa hata ikivunjika mhusika mkuu wa uvunjaji wa hii ndoa ni wewe! Wewe umeanza, wife kamaliza. Unachepuka halafu ukichepukiwa unaumia [emoji848][emoji848]. Unakiri kuchepuka halafu unasema hiyo haimpi uhalali wife kuchepuka [emoji848][emoji848].

Ulikua ukiwasiliana na mchepuko wako, wife nae alikua akichati na mchepuko wake [emoji23]. Ulipanga kulala na mchepuko wako sema ikashindikana, wife na yeye sijui ndo walikutana na mchepuko wake [emoji23][emoji23].

Anyway thamani ya ndoa imeshuka mno siku hizi, mtu haoni shida kukiri hadharani kuwa anachepuka na akamlalamikia mkewe kwa nini anachepuka
 
Tena ukicheza harudi leo, mpaka kesho .

Na hapo kwa hasira jamaa ataenda kupooza machungu kwa mchepuko wake huku akiusimulia jinsi ulivyochepukiwa na wife [emoji23]. Mungu atupe uzima tuendelee kuyaona ya walimwengu
 
Yaaa akili nyingine inasema hivo kwakujiangalia mimi ni mara nyingi nimechepuka lkn sijawahi kumwonyesha

Yeye sasa ameamua kukuonyesha [emoji23] next time ukichepuka hakikisha na yeye anajua ili mwende sawa, haiwezekani we uchepuke kwa kujificha ficha halafu yeye afanye wazi wazi tu[emoji23]
 
Mkuu usishangae mpka mida hii sioni dalili za yy kurud home acha tu mi nimeamua nitulie zangu tu hapa kumsubir asipo rud bas ntafanyaje sasa
Hongera kwa kuvumilia, maana ungemwambia umerudi upo home ungeboronga upelelezi wako!
 
Duuuuuh, mwamba kashampasua huyo, ila hongera sana kwa uvumilivu, mi nlivyokua nasoma huu uzi nilijua mwisho itakua mwanamke hana jicho na meno manne ya mbele hivyo kalazwa MOI[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na wewe chepuka my friend ereeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…