Tulimwonya 1st lady akakung'ang'ania kumbe mume ni mtaalamu wa nje.
Namwona Fidel kwa mbaaali
utajiju
ananipenda nampenda hanifanyi lolote ππone love
umeyataka mwenyewe subiri akina Fidel masanilo na next leve hao ndo watalia kabisa utadhani umelala nao
Umejuaje wewe, yeye anakupenda wewe?
Naona ugomvi unaanza upya na XSPN
Vita ilishaisha mkuu. Mpwa tunaheshimiana. Anamkubali shemeji yake.
Umejuaje wewe, yeye anakupenda wewe?
the winner is my husband Chrispin bwana masaniloπ
Fidel80 na kwa nini nisijue kama napendwa mtu husifia kilicho chake bwana π
Fidel80 na kwa nini nisijue kama napendwa mtu husifia kilicho chake bwana π
the winner is my husband Chrispin bwana masaniloπ
Pole Fidel shemeji ana msimamo
Pole Fidel shemeji ana msimamo
Mkuu Fidel hujanijibu kama uliiona hii quote, au ushaanza wivu kama wa mpwao bestman wangu masa.
Duh sijaiona hiyo dah ngoja nikuachie maana nikianza kushusha verse hapa itakuwa balaaa mkuu.
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u
Hongera kwa kumpenda mumeo FL1.
Hehehe unaendeleza mwendelezo endelevu.