Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Tulimwonya 1st lady akakung'ang'ania kumbe mume ni mtaalamu wa nje.

Lol mkuu unaanza kuharibu. Unajua terminoloji nyingine kina mamii hawazijui. Mtaalamu wa nje, umemwaga mchele kwenye kuku wenye njaa.
 
Namwona Fidel kwa mbaaali

Wakuu vekesheni ilikuwa imenitaiti sana sasa nimeonja barafuu kadhaa napanda kuonja barafu za walugulugu si unajua wapo wa aina mbili wale warefu na wafupi na radha zao nazo tofauti.
 
Fidel80 na kwa nini nisijue kama napendwa mtu husifia kilicho chake bwana 🙂

Ndo maana nasema umejuaje anakupenda?
Wakati ni maswala binafsi ndani ya roho yake yeye mwenyewe kama ilivyo kwako.
 
Pole Fidel shemeji ana msimamo

Hehehehe hakuna kitu hapo mkuu angekuwa na msimamo angemkubali huyo aliye nae? Si alisaundishwa akakubali na je Fidel naye akitumia mbinu kali zaidi ya yule aliye nae si nabeba mzigo kama namsukuma mlevi.
 
Mkuu Fidel hujanijibu kama uliiona hii quote, au ushaanza wivu kama wa mpwao bestman wangu masa.

Duh sijaiona hiyo dah ngoja nikuachie maana nikianza kushusha verse hapa itakuwa balaaa mkuu.
 
Duh sijaiona hiyo dah ngoja nikuachie maana nikianza kushusha verse hapa itakuwa balaaa mkuu.

Ahsante mpwa, kwa uelewa wako wa haraka. Manake presha ilianza kupanda na kushuka.
 
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u

921-i_love_you_teddy_bear.jpg

Hongera kwa kumpenda mumeo FL1.
 
Back
Top Bottom