Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Kabla sijaendelea na kujibu hili swali lako la nyongeza hebu mlete wife wako hapa ndo nitoe majibu ...
pili pili ya shamba ...Binamu

This is between me and you. Ndo maana mmeo na mke wangu hawahusiki hapo.
 
mmmmh huyu naye ...😡jamani nyie mbona mnaweza vunja ndoa za watu

hii ni special thanx to my husband eeh

I'm here sweet, nakupenda pia nashukuru kwa kuonyesha upendo wako bayana ndani ya forum. I love u much
 
I'm here sweet, nakupenda pia nashukuru kwa kuonyesha upendo wako bayana ndani ya forum. I love u much

Ni wewe kweli mwenye mihuri ya Mungu ya kumiliki hiki kifaa?
 
Nakumbuka kibaki alimchukua wife wakajitangaza kwenye TV kama kibaki ana mke mmoja tu ambaye ni Lucy kibaki

Basi na mie kwa niaba ya mzee wangu ambaye ni shemeji yenu ndoa yetu iko fit na kama chuma cha reli msiwe na hofu ..

Iribin kama unanitakia nivunje ndoa yangu ushindwe na ulegee na wewe Fidel na Geoff..
Ila Geoff hapana namtoa hausiki..nyie wawili leo mkinywa therengeti therengeti zibadilike na kuwa maji .
 
Nakumbuka kibaki alimchukua wife wakajitangaza kwenye TV kama kibaki ana mke mmoja tu ambaye ni Lucy kibaki

Basi na mie kwa niaba ya mzee wangu ambaye ni shemeji yenu ndoa yetu iko fit na kama chuma cha reli msiwe na hofu ..

Iribin kama unanitakia nivunje ndoa yangu ushindwe na ulegee na wewe Fidel na Geoff..
Ila Geoff hapana namtoa hausiki..nyie wawili leo mkinywa therengeti therengeti zibadilike na kuwa maji .

Kama laana ni hizo, acha tukuombee ndoa yako idumu. LOLZ! Yaani bia ikuwe maji? No way! Niko tayari kumwacha mke kwa ajili ya bia!
 
Back
Top Bottom