Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hata kama zile ndoto za malavidavido?hakuna ubaya kumuota mpwa wako hakuna kifungu kinachozuia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama zile ndoto za malavidavido?hakuna ubaya kumuota mpwa wako hakuna kifungu kinachozuia
Mabinamu kuna mtu kawaambia nimeachika??
He! Hivi mnaongeaga kwa simu? Noted.
Mungu anatumia Supa gluu.
Hata kama zile ndoto za malavidavido?
Ebo! Kwenye simu umesevu jina gani?hahahaha ...Redio call !!!
Unaibanjua kwa maji ya vuguvugu yaliyochanganywa na ndimu. Inatengana softly!Lol Mungu noma sasa hii ndoa ya F1 umeungwa na supa gluu ikivunjika lazima na viungo vivunjike
Kabla sijaendelea na kujibu hili swali lako la nyongeza hebu mlete wife wako hapa ndo nitoe majibu ...
pili pili ya shamba ...Binamu
Habari zimezagaa ndo maana tunatesti zari wenzio!
Kabla sijaendelea na kujibu hili swali lako la nyongeza hebu mlete wife wako hapa ndo nitoe majibu ...
pili pili ya shamba ...Binamu
Hehehe! Hilo analijuaHahahaha muosha huoshwa unalijua hilo lakini?
Kama si wewe uliyezianzisha harafu unatest zali...
Shauri yenu mtanitunza nyie?
Ebo! Kwenye simu umesevu jina gani?
Unaibanjua kwa maji ya vuguvugu yaliyochanganywa na ndimu. Inatengana softly!
Shauri yenu mtanitunza nyie?
mmmmh huyu naye ...😡jamani nyie mbona mnaweza vunja ndoa za watu
hii ni special thanx to my husband eeh
Kwanini hukusevu Fidel? Na mimi umenisevu kwa jina gani?Kwenye simu nimesevu .".Zinduka '
We acha tu mpwa lakini bado sijakata tamaa.Hapa naona mpwa Xpin litakuwa pumnzike lake la maisha lol bahati ya mtende.
I'm here sweet, nakupenda pia nashukuru kwa kuonyesha upendo wako bayana ndani ya forum. I love u much
We acha tu mpwa lakini bado sijakata tamaa.
Huyu anataka kuharibu dili huyu!Ni wewe kweli mwenye mihuri ya Mungu ya kumiliki hiki kifaa?
Nakumbuka kibaki alimchukua wife wakajitangaza kwenye TV kama kibaki ana mke mmoja tu ambaye ni Lucy kibaki
Basi na mie kwa niaba ya mzee wangu ambaye ni shemeji yenu ndoa yetu iko fit na kama chuma cha reli msiwe na hofu ..
Iribin kama unanitakia nivunje ndoa yangu ushindwe na ulegee na wewe Fidel na Geoff..
Ila Geoff hapana namtoa hausiki..nyie wawili leo mkinywa therengeti therengeti zibadilike na kuwa maji .
Basi na mie kwa niaba ya mzee wangu ambaye ni shemeji yenu.