Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

Nimeona kuna wale mliokereka Mtajijj kama hamkupenda msingepost (ignore) sitaki kuwataja ..kila mmoja na namna yake ya maisha..roho yangu nyeupe maisha kwangu tambaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaale ...message ishamfikia muhusika
Hiki ni chombo huria kwa nini watu wanatuma TBC one kwenye Bango Kwanini watu wanatuma kupitia magazeti agggggggggggggggggggh
Huwezi fanya kitu wanadamu wote wakakipenda neva on ethi
Asante kwa wote mlioipokea katika postive way
peace and love
mwaaaaaaaaaaaah
 
Nimeona kuna wale mliokereka Mtajijj kama hamkupenda msingepost (ignore) sitaki kuwataja ..kila mmoja na namna yake ya maisha..roho yangu nyeupe maisha kwangu tambaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaale ...message ishamfikia muhusika
Hiki ni chombo huria kwa nini watu wanatuma TBC one kwenye Bango Kwanini watu wanatuma kupitia magazeti agggggggggggggggggggh
Huwezi fanya kitu wanadamu wote wakakipenda neva on ethi
Asante kwa wote mlioipokea katika postive way
peace and love
mwaaaaaaaaaaaah

Inakuwaje mamushka? wanakuonea wivu? wapotezee.ujumbe ushamfikia muhusika.
 
Inakuwaje mamushka? wanakuonea wivu? wapotezee.ujumbe ushamfikia muhusika.

thanx charity ur the best ...usihofu kuna watu wananitumia PM mala ikaenda mala ikarudi nishawapotezea mie ..sitaki kuongea mengi hasa tunakoelekea kwenye uchaguzi 🙂
Ubarikiwe na bwana
 
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u

921-i_love_you_teddy_bear.jpg
haya maneno ya chumvi ya mapenz, endelea kumwambia mwandani wako unavyojiis ili muishi kwa starehe zaid
 
naomba msi-ignore post yangu ni mapenzi tu yamenijaa kwa huyu barafu wa moyo wangu ...nakumbuka kile kiapo pale church you mean a lot to me i love u

921-i_love_you_teddy_bear.jpg

Sielewi kwanini ulalamike wakati mwenyewe umeomba watu wasi-ignore post,watu wamerespond..you should be glad they did as u pleased
 
Nimeona kuna wale mliokereka Mtajijj kama hamkupenda msingepost (ignore) sitaki kuwataja ..kila mmoja na namna yake ya maisha..roho yangu nyeupe maisha kwangu tambaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaale ...message ishamfikia muhusika
Hiki ni chombo huria kwa nini watu wanatuma TBC one kwenye Bango Kwanini watu wanatuma kupitia magazeti agggggggggggggggggggh
Huwezi fanya kitu wanadamu wote wakakipenda neva on ethi
Asante kwa wote mlioipokea katika postive way
peace and love
mwaaaaaaaaaaaah

my bestlady, nimefurahi kuwa unaelewa hivo, no wonder you are not bothered by that............
 
Kaaazi kweli kweli!
dada umeamsha hisia za watu, manake inaonesha ni jinsi gani watu wanavyopenda kuambiwa maneno mazuri na wapenzi wao mbele ya halaiki. Naona kila mwanaume anataka kujibatiza kuwa mumeo. Lakini nadhani mwenye mali yuko mahali katulia tuli! anachekelea tu moyoni
 
my bestlady, nimefurahi kuwa unaelewa hivo, no wonder you are not bothered by that............

thanx ma bht niko vere normal kesho eeh naenda kupika ..
 
Haya Binamu ushahidi huu hapa chini.



Huyu wa kwanza dah unabahati kweli



huyu hapa wa pili nae



Huyu nae mme wako lol.
Mpaka hapo bado wale wengine mme wako halali ni yupi?

mbona ni mimi
 
Nashukuru hukuniangusha. Japokuwa sikukukuta bikira, lakini sikujali. Hao walionitangulia hawanibabaishi. .
. -Wewe alikukuta na bikira? Au nyamaume hawana bikira? - Ikiwa nyamaume hawana bikira nini maana halisi ya bikira? Je ni kuwepo na kiwambo (hymen) au ni kutopata kufanya ngono kabla ya ndoa? CONFUSED
 
Kaaazi kweli kweli!
dada umeamsha hisia za watu, manake inaonesha ni jinsi gani watu wanavyopenda kuambiwa maneno mazuri na wapenzi wao mbele ya halaiki. Naona kila mwanaume anataka kujibatiza kuwa mumeo. Lakini nadhani mwenye mali yuko mahali katulia tuli! anachekelea tu moyoni

Si unajua haya majina ya nyuma ya pazia? kila mtu anabahatisha akihisi labda ndiye. Mwaya kama ni mama yoyo yangu, asante sana nami naipenda sana kuliko shangiki yote niliyo wahi kwisa ona!
 
Duuu,wanajamii sasa huyo mwanamke ni wanani?okay hayanihusu hongera dada kwa kumpenda mumeo
 
mimi sijaona ubaya kwa mtu na mtuwe kuonyesha mapenzi yao hapa jamvini
 
unaangalia sredi mpaka unasikitika...
enzi za kumtongoza au kumpitia mdada fulani..kisha kwenda kujitangaza kwa washkaji zako...zimepita...!!!!

JF...bila MIJANAUME MIMBEA.......INAWEZEKANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!🙁😡
 
Back
Top Bottom