Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

 
 
tuko break kwa lunch aaaaaaaah do! Ice cream imetuchafuwa samahanini kidogo tutarudi later on
 
sasa nani ndo mmeo mbona wote wanajibu.........
 
Kwa kweli nahisi kumpenda FL, niko tayari kumpa Moyo wangu! mimi nitatumia figo
 
tumia selula yako ni nzuri zaidi kuliko kumwaga kuku kwenye mchele wengi......
 
Kwa kweli nahisi kumpenda FL, niko tayari kumpa Moyo wangu! mimi nitatumia figo

Ngoja ni muulize kama yuko tayari kuniacha mimi, nitarudi kwako hivi punde.........
 
Ni wapenzi vijana tu hawa. Watu wazima hawawezi kujianika hivyo. Ukiona wawili wamekaa kwenye gari wenye furaha sana na maongezi muda wote na vicheko huku wakitazamana kila wakati, ujue ni wezi hao wala sio mume na mke. Mkate wa wizi ni mtamu kulikoni wako.

Leka
 
i lav u my first lady ur the part of me.

thanks for the chocolate, wote hao wanakutania tu, embu waeleze ukweli kuhusu sisi kuwa tunaamka pamoja na tunala pamoja sasa uko kifuani mwangu.....tunasoma vsms vyao

mmh kwani mko wanaume wangapi???
 

utajiju kama hufanyiwagi suprise nenda kwa mganga πŸ™‚
 
Mpwa I meant to give her my sweet heart and one of the Kidney to replace it ....Mpwa fiGo na tiGo havina uhusiano.

Hahahahaha! mpwa umesepa kiaina. Sikuwezi.
 
nisaidie mwenzio hapa hata sieleweki message hii ilikuwa mahusuki kwa nani πŸ˜‰wamemaliza apetaiti yangu
We ulivyoleta hii thread ulikua na malengo gani? ulitakawatu wachangie nn? na Mumeo ni member huku au? kama sio member ujumbe angeupataje?
 
My 1st lady

huwezi kumpenda

1. Burn-mdomo wake haufungi
2. Masanilo -anakojoa hovyo kwenye miba
3. Chrispin-utapeleka wapi mwanariadha?
4. Fidel81 skeleton/huyo ni wa life after death

unaweza kumpenda

nguli-is serious n i know u lav a man who takes charge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…