rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Horashi na rangi ya kanga wanapatikana wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika
hakuna chotara hapo hata kwa mbali. ni yle niliyeweka mfano tu wa rangi ya kangaUmesema kuku wa Kienyeji mbona apo naona Machotara Mkuu
Mkuu nimeelezea 4 tu zipo nyingi mno kama njachama wengine huita nungunungu,kishongo,pemba,ugunja,katoga,kibutu(wasiokuwa na manyoya mkiani)pemba,kibwezi nkKwenye list sijamuona kuku njachama
Ndio mkuu ndo niliowafuga kwa muda mrefu zaidi. japo kuna kishingo ,mbuni au kibutu, njachama nk sijawataja pia. sikuwa na picha zao. nikipata nitawaelezea vilevile hasa niliowahi kufuga tuNadhani umetaja kuku wa kanda ya ziwa tu,...
Mkuu kwa huku tabgu tunazaliwa hayo ndo majina waliyokuwa wanaitwa siku zote hadi. na hata baadhi ya vitabu vya kuku asili vimetaja vivyo hivyo. Aina zipo nyingi sana mkuu nadhani kam,a ningejikita kwenye rangi pekee usingekosa rangi nyekundu,kijivu,nyeusi nk.Mkuu nadhan kwenye utafiti wako umewatambua kuku kutokana na rangi zao na sio vinginevyo kwa maana umetumia uzoefu wa mazingira yako.
Kama ujuavyo atachukua nusu kwa baba na kwa maa nusu. kwa kuchi hasa mara nyingi manyoya huwa ni machache na pia simama yake hawezi simama kama kuchi halisi na hawezi simama kama rangi ya kanga. akiwa jike mara nyingi kwenye utagaji atakopi kwa mama.Je wanaingiliana kwa jamii zao tofauti?na mbegu gani na tabia gani hutokea kama kuchi akimpanda na kutoa mbegu na Rangi ya kanga
karibuShukrani Mkuu ngoja tubadilishane uzoefu na maarifa
Ndio mkuu. hasa ukitafuta jike la horasi ni ngumu sana kuja kumtofautisha na kuchi og otherwise uwe una uelewa wa kina. Au kwenye mdomo afanane na jike hapo ndo utaweza kumtambua kwa upesi zaidiHivi Wakuu jogoo la kucho linaweza likarutubisha mayai ya aina nyingine za kuku?
Ahsante mkuu
Kuku wa Asili ni wale ambao wamekuwepo hapa nchini kwa miaka mingi na damu yaoKuku wa "kienyeji" maana yake nini? unaelewa nini kuhusua genetics na first filial generation, or F1.
Pamoja sanaAsante kwa elimu mkuu
Horashi nilikuwa nao hata mimi nikauza nikabaki nao wachache sana(3) wanapatikana geita vijijini hasa ukiwa na mwenyeji utapata mkuu. nina jogoo kesho nikienda nyumbani nitakutumia picha yake hapa sina.Ni refu na ni dogo tu kwa umri miezi 7 tuHorashi na rangi ya kanga wanapatikana wapi
Hao wote wananunulika vizuri sana mkuu na kwa magonjwa wote wana stahimili vizuri mno. kuchi soko lake ni wachache kulingana na bei zake ni ngumu kwa mtu anayeenda kula tu anunue kwa 250k naamini hata wewe huwezi hiyo hela ni wastani wa mbuzi2 kabisa.Asante mkuu kwa maarifa, Katika hizo aina zote tajwa hapo juu ni aina ipi inapendwa sokoni lakini pia haivamiwi na magonjwa kwa urahisi.
Mkuu wengi huwa ni horasi maana ni warefu sana na huwa hawanenepi sana ila nyama yao ikipikwa huvimba ama kuumka. Kuna wengine huwa warefu sana kiasi kwamba baada ya muda flani tu uzito ukizidi huteguka na kushindwa hata kutembea. Nina jogoo nikipiga p[icha yake nitakuwekea mkuu japo nashukuru hajarefu sana kushindwa kuhimili mwili wakeMimi namba mwenye picha ya kuku hai wa Ile minofu mikubwa naiona inauzwa uswahili, Buguruni, Vingunguti, Mbagala. Kipande kinaizwa hadi elfu 6 najiuliza huyu kuku yukoje?
Mkuu ni kitu ipo kwenye damu halafu nimedumu nayo miaka si chini 15 .mkuu naona umejikita kwenye angle ya kuku mtu akudanganyi kitu apa