Leo nalibatiza bwawa la kufua umeme Mto Rufiji

Leo nalibatiza bwawa la kufua umeme Mto Rufiji

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Asanteni JF Kwa maua maua kuelekea mwisho wa mwaka
Na ikawe heri next year panapo majaliwa

Bwala la mto Rufiji dedication ni kwa Magufuli na Nyerere. Hawa Ndiyo washika maono wetu.

Wamechukua maamuzi magumu kuhakikisha Tanzania iwe na umeme wa uhakika.

Bwawa hili Nalibatiza Kwa jina la
" JOHN NYERERE HYDRO POWER PLANT" JNHHP.

Aaameni.

Asanteni

Wenye wivu wajinyonge.
 
Back
Top Bottom