The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Asanteni JF Kwa maua maua kuelekea mwisho wa mwaka
Na ikawe heri next year panapo majaliwa
Bwala la mto Rufiji dedication ni kwa Magufuli na Nyerere. Hawa Ndiyo washika maono wetu.
Wamechukua maamuzi magumu kuhakikisha Tanzania iwe na umeme wa uhakika.
Bwawa hili Nalibatiza Kwa jina la
" JOHN NYERERE HYDRO POWER PLANT" JNHHP.
Aaameni.
Asanteni
Wenye wivu wajinyonge.
Na ikawe heri next year panapo majaliwa
Bwala la mto Rufiji dedication ni kwa Magufuli na Nyerere. Hawa Ndiyo washika maono wetu.
Wamechukua maamuzi magumu kuhakikisha Tanzania iwe na umeme wa uhakika.
Bwawa hili Nalibatiza Kwa jina la
" JOHN NYERERE HYDRO POWER PLANT" JNHHP.
Aaameni.
Asanteni
Wenye wivu wajinyonge.