Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kat ya Hawa mmoja wapo tumpe Leo zamWana Yanga naomba mnifahamishe
Maana juz nlimuona mzee Nabi alikuwa zam na alikuwa anahangaika nao Sana,mzee wa watu had huruma jaman
Yanga mnateseka kwa kweli
Vip Leo Nan Yuko zam ili mzee Nabi nae apumue kidogo??
Tutaelewana mdogomdogoKivp mkuu ? Au wew ndo kichefu chefu ??
Umechanganya kidogo mkuuElewa maada inavyosema,staki ucoment tofaut na maada
shida nini mzee au na ww ni wale wa upande wa pili waliokosa akiliElewa maada inavyosema,staki ucoment tofaut na maada
Nasikia manara anakwepa kwepa sanaWana Yanga naomba mnifahamishe
Maana juz nlimuona mzee Nabi alikuwa zam na alikuwa anahangaika nao Sana,mzee wa watu had huruma jaman
Yanga mnateseka kwa kweli
Vip Leo Nan Yuko zam ili mzee Nabi nae apumue kidogo??