Leo Nan yupo zam ya kuchunga ng'ombe wa Mayele?

Leo Nan yupo zam ya kuchunga ng'ombe wa Mayele?

Wana Yanga naomba mnifahamishe
Maana juz nlimuona mzee Nabi alikuwa zam na alikuwa anahangaika nao Sana,mzee wa watu had huruma jaman
Yanga mnateseka kwa kweli
Vip Leo Nan Yuko zam ili mzee Nabi nae apumue kidogo??
Kat ya Hawa mmoja wapo tumpe Leo zam
1.Ushind
2.Feisal Salum
3.Saido
 
Wana Yanga naomba mnifahamishe
Maana juz nlimuona mzee Nabi alikuwa zam na alikuwa anahangaika nao Sana,mzee wa watu had huruma jaman
Yanga mnateseka kwa kweli
Vip Leo Nan Yuko zam ili mzee Nabi nae apumue kidogo??
Nasikia manara anakwepa kwepa sana
 
Uto hadi huruma. Mzee wa watu jana alikuwa anatembea na kinyesi cha ng'ombe kwenye paja la kushoto la suruali yake bila kujua.Mbaya zaidi Manara badala ya kumwambia yeye akawa anamchekelea tu
 
Back
Top Bottom